Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,174
Naona alishinda Jana
Naona alishinda Jana
Mkuu mtaji huu wote nataman niwe nao unauletea masihara....meme nifika huo mtaji mrusi atafurahia shoooBoss hii mechi niliichambua od 1.03 nikaona feyeroord ana ushindi nnjenje kwa timu kibonde ambayo ina kalibia mechi kumi rose
Usku kama saa mbili nikatamani niamke angalau na hela ya supu 15000 nikaweka laki4 nikalala
Nimekuja kuamka saa6usku naangalia mkeka mechi iko dakika ya 89 wako 1-1 yaani jasho lilinitoka usku huo nkaamka kunywa maji moyo uliuma balaa chaajabu wakaongezewa dakika6 Feyenoord likaongeza bao mbili dakika ya 94
Hakuna timu kibonde
View attachment 2836177
799AD76 edited
Jimixin kwa Tot bila kufatilia kuwa Westham ana mechi sita anashinda mfululizo yakukute badae ulalamike
Sema sportybet Wana bonus tamu Sana mpaka naona betpawa ni ujinga tu46FB3C | SportyBet
Huu mkeka nimeusuka nikiwa juu ya kifua cha mtoto wa kipemba
Weka ukoo wenu wote, kama huna stake kakope 🔞
Hao wahuni ni wengi sana betting ni bahati tu na kufatilia historia ya timu ,kumwamini mtu na kumlipa akutumie mkeka eti sure odd huko ni kujitia kitanzi km yeye ni betting master si angebet mpunga mrefu akaachana na njaaa njaa za kushadadia magroupTuwataje wahuni wanaotumia ujanja kuwatapeli watu kupitia mikeka .
Naamza na MTU anayedanganya watu kuwa yeye ni betting master na ansunda magroup ndani ya magroup ya wenzake Ili apige watu.
Anatumia Namba za Simu 0748963883.
Jeshi la Polisi na TCRA wamchunguze huyu mwizi Wa kwenye mtandao.
.
Nawaza na kutafakali...
Hivi huu msimu arsenal watafanya ujinga na kuukosa ubingwa wa EPL?!!
Nawaza tu
Siyo kuwaza mkuu inabidi ashinde mechi muhimu, weekend hii anaenda villa park ambapo mwenzie kaacha zote 3, akitoka hapo anaenda anfield usishangae baada ya hizo mechi mjadala ukabadilika tena ikawa top four badala ya ubingwa🏃🏃🏃Nawaza na kutafakali...
Hivi huu msimu arsenal watafanya ujinga na kuukosa ubingwa wa EPL?!!
Nawaza tu
3F0D8AF editedKama unapunguza timu kwa hii code....
•Toa timu za Iran pekeyake! Tatu za over 0.5,
•Moja ya rwanda it's 50/ 50 over 1.5,
Then Stake hii code kibabe....! ukiwa umevua Shati kabisa!!!
32CCD039 Sporty
We Koma we,tena wewe ndio nilikuwa nakutafuta,maana nilikuwa namtafuta Binti Yangu kumbe yupo kwako na unajisifia alaaa46FB3C | SportyBet
Huu mkeka nimeusuka nikiwa juu ya kifua cha mtoto wa kipemba
Weka ukoo wenu wote, kama huna stake kakope 🔞
Sio kudanganya watu, ni watu hao waliotuma pesa ndio wajinga. Hakunaga fixed match kwenye betting. Huwezi kulipia ili eti upewe sure odds wakati Hakuna anayejua matokeo kabla ya mpira..watu wajifunze kuwa betting Ni bahati nasibu tuu.Tuwataje wahuni wanaotumia ujanja kuwatapeli watu kupitia mikeka .
Naamza na MTU anayedanganya watu kuwa yeye ni betting master na ansunda magroup ndani ya magroup ya wenzake Ili apige watu.
Anatumia Namba za Simu 0748963883.
Jeshi la Polisi na TCRA wamchunguze huyu mwizi Wa kwenye mtandao.
.
Inashangaza mnooo. Bora ingeenda na odd ya 3. But faida ya elfu 10 kwa laki 4 hell Noo.Watu wengine..... Hata mkiliwa ni sawa kabisa!....
Stake ya 404,000 unatafutia faida ya elf 10!?.... Shiit.....
Mkeka wa dizaini hiyo ukichanika... Huwa nafurahi mnoo!!! Utafikiri nimekula vile!
Hela yoyote inayotumwa kwa Consent(hiyari) ya mtu mwenyewe...Tuwataje wahuni wanaotumia ujanja kuwatapeli watu kupitia mikeka .
Naamza na MTU anayedanganya watu kuwa yeye ni betting master na ansunda magroup ndani ya magroup ya wenzake Ili apige watu.
Anatumia Namba za Simu 0748963883.
Jeshi la Polisi na TCRA wamchunguze huyu mwizi Wa kwenye mtandao.
.