Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,295
- 755
Wadau,,ni mm tu sportybet haifunguki au na nyie inazingua?
UTALIWA uchanganyikiwe ukatamani kujiuzaView attachment 2557592mimi ni yanga natambua bookies/Vegas hawajawahi kukosea ktk kupanga odds Ila najitoa kimasomaso naweka laki 2 nazifata odds 4.90 za monastir
Lolote linaweza tokea na risktaker huwa hupongezwa baada ya ushindi na hutukanwa baada ya matokeo mabayaUTALIWA uchanganyikiwe ukatamani kujiuza bure
UTALIWA uchanganyikiwe ukatamani kujiuza
Nimeamua kutoka moyoni rasmi kuachana na kubet
Wote hao ni wachawiWandugu hapa mchawi wa kumuwekea mashaka anaeza kua nani View attachment 2557478
Leo subiri nijikalir zangu kimya bila kubet, hata hii siku ipite moyo udunde kawaida 70 times / one minute.
Nimechoka
Leo wenzako tumesha nawa kabisa na ndizi mfukoni tunasubiri ubwabwa wa kanji tuLeo subiri nijikalir zangu kimya bila kubet, hata hii siku ipite moyo udunde kawaida 70 times / one minute.
Nimechoka
UpdateWadau,,ni mm tu sportybet haifunguki au na nyie inazingua?
Wewe tuWadau,,ni mm tu sportybet haifunguki au na nyie inazingua?
Kwahyo unataka ule peke yako uje utupostie ulivyokulaaa?Leo wenzako tumesha nawa kabisa na ndizi mfukoni tunasubiri ubwabwa wa kanji tu
Hahaah na pilipili kabisaa, hatariii sana..mm nawatakia kila la kheriLeo wenzako tumesha nawa kabisa na ndizi mfukoni tunasubiri ubwabwa wa kanji tu
Huyo ataliwa kiboya pesa kama hiyo unatakiwa kubetia live .....anatakiwa kuacha mechi ianze hadi dakika ya 20 hivi ndiyo atoe maamuzi ya kufyatua huo mzigo maana kwa dk 15 hadi 20 inatosha kujiakikishia nini kitatokea .....vinginevyo anaweza kujutia maamuzi yake kabla hata timu azija fungana .....ninasema hivi kwa sababu ya uzoefu wangu wa kubeti timu chache ....hapo ndipo ilipo siri ya kwanini wengine tuna penda live betiLolote linaweza tokea na risktaker huwa hupongezwa baada ya ushindi na hutukanwa baada ya matokeo mabaya
Appunatumia app au website, maana mm zote zimegoma.
Ushauri wa bure ....hata siku moja usitie mzigo mkubwa namna hiyo kabla ya mechi kuanza ....unachotakiwa kufanya ni kukaa karibu kusuburi mechi ianze na kusoma mchezo kwa dakika 15 hadi 20 za mwanzo ndiyo utoe maamuzi ya kuweka huo mzigo au la .....vinginevyo unaweka mzigo mechi ikifika dakika ya 30 tu hata timu azija fungana una anza kujuta baada ya kuona uwanja umeegemea upande loss ...mfano kwenye hiyo mechi mgeni kapewa odds4 ila mechi ikianza unakuta ball possession ya mgeni ni 70% yanga 30% na mechi bado 0-0UTALIWA uchanganyikiwe ukatamani kujiuza bure
UTALIWA uchanganyikiwe ukatamani kujiuza
Napoli ni jini mtoa damu.Wandugu hapa mchawi wa kumuwekea mashaka anaeza kua nani View attachment 2557478
Usimwamini sana PSG.. unaweza kuweka Over1.5 au GG..Wandugu hapa mchawi wa kumuwekea mashaka anaeza kua nani View attachment 2557478
Edit hiiF1FACDE sportybet