mpiga era
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,079
- 2,255
Betpawa ni bonge moja la kampunihila wakuu tuache utani betpawa na sportpesa wana tubana sana kwenye option zao sio siri nimejaribu kubetia 22bet na sportybet nimeona utofauti sana kwenye option zao wapo vizuri kweri kweri.
Betpawa naona ni wazuri kwenye bonus tu wajitafakari sana kwasasa nimejihifadhi 22bet na sportybet mpaka watapo jirekebisha maana ni App nayo ipenda sana sema wazinguaji kwenye option zao tu.
Ipo faster ( unaweza suka mkeka wa timu ishirini within 5 min ) iwe simu au laptop
Wana bonge moja ya bonas
Ila wakijirekebisha kwenye option
Wakawa kama 22bet, 1x bet , au sporty bet . Yawezekana ingekuwa ndo best kampuni ever seen.