mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,141
- 3,452
nikiweka single bet nakula vizuri, siku nikisema nikusanye 5 tu napigwaweka direct win kwa spurse, anafungwa leo
nikiweka single bet nakula vizuri, siku nikisema nikusanye 5 tu napigwaweka direct win kwa spurse, anafungwa leo
Hii inatoa ngoja nifuateMan city
Bayern
Barca
Man U
Chelsea
Real Madrid
Psv
Liverpool double chance
Kakope hata kwa jirani mtaji 100%
sio kila siku ni jumapil mkeka wa kwanza umeshanyolewatafuta timu zisizo zidi nne humu zichambue na uweke pesa. weka kiasi ambacho hata ukipoteza hutaumia.
mkeka huo mrefu ona odds 74 na huo wa pili una odds 17 chambua na kila la heri.
View attachment 632779
View attachment 632780
hahaah Tottenham utadhani wamecheza kwa kusubiri mechi ya UEFAShikamoo kaka Wenger.
Umezirudisha zoteTanzania prison vs Simba
win-simba
stake: all my academic certificates.
Teh huyu jamaa inabd cheti kmoja amgawie bokoUmezirudisha zote
Leo watu watatusua kwa kweli naziona dalili aiseeHivi kwa mliobeti leo kuna mchawi kweli?
Maana naona timu kubwa zimeshinda zote.
Lakini mkuu kumbuka usipobeti huwa unaona timu zote zimeshinda tusubiri mrejesho wa waliobeti maana wachawi hawakosekani japo leo inaonekana siku nzuri.Leo watu watatusua kwa kweli naziona dalili aisee
Unachosema nisahihi kabisa mkuu daaLakini mkuu kumbuka usipobeti huwa unaona timu zote zimeshinda tusubiri mrejesho wa waliobeti maana wachawi hawakosekani japo leo inaonekana siku nzuri.
Wana mwezi hao wanasema iko matengenezo eti...wazushi balaa nimehamia superbet options mlima wako fit balaaKwa wale wanaotumia kampuni ya gal sport na nyie inakataa ku deposit kama mimi kwangu?
Odds ngapi mkuu?? Hiyo winning margin hasa ni nini?sala zenu wadau. ila kila nikiweka huwa nashare ila hamtaki kula hela na mimi. huwa nafanyaga kweli.
Nilikufuata mkuu yaan hapa natetemeka mwili mzima stake niliyoweka daaa cjielewi aiseee hahaTuliokuwa wote kwenye hii safari amebaki Victoria Plzen pekee tupendeze weekend. Tuombe asiwe agent wa Kanji leo, maana hizi timu zinazobaki mwishoni sometimes wanakuwaga na surprises