Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,766
Wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangaika x2
Kawaida yao hao nimesha wazoea...mimi nilishakaa siku tatu hawajaweka matokeo mpaka nikawatumia mail jioni yake ndio wakawekaView attachment 632769 Siamini kama hadi muda huu premierbet hawaweka matokeo kwenye mechi hii wakati mechi imemalizika jana ingawa imechelewa...ila hadi now no updates Al Arab alishinda 2-0
duh mi ndo nilikuwa nasubiri mtaji hapo, kumbeeeeKawaida yao hao nimesha wazoea...mimi nilishakaa siku tatu hawajaweka matokeo mpaka nikawatumia mail jioni yake ndio wakaweka
Ngja nitembee na nyota yako mkuu leo
Ngja nitembee na nyota yako mkuu leo
umerudi tata
Kabisa mkuu maan huy mla pilipili si wamchezomchezo hahaha ila leo atakaaSawa chief, ngoja tujaribu bahati yetu.
Ngja tumsubiri na Mr Q maan anakaupepo flani kwa draw hahaha nikumix tu madesa tujaribu kumchanganya changanya asijue formula tunayotumiaSawa chief, ngoja tujaribu bahati yetu.
umerudi tata
Man u vs Newcastle man u win
Leganes vs Barcelona Barcelona win
Inter vs atalanta double chance inter
Burnley vs Swansea double chance Burnley
Schalke 04 vs hamburger double chance schalke 04
Stake 10000
Inter hajafungwa mechi zaidi ya kumiUmekaa vizuri ,ila Kwa Inter hapo 1X mie nabadilisha naweka 12
tupatie hizo njia mkuu. Tupo tayari kujifunza ahsante.KWANINI uji ingize kwenye maisha ya kubet..... hivi hakuna njia ilio sahihi ya kutengeneza 500 ikupe pesa zaidi?
Naona unawashwa na Pesa za watu, unazipangia namna ya kuzizalisha ni zako? Yaani siku nzima umewaza huu upuuzi wa dada zako ukaja kuuandika hapa?KWANINI uji ingize kwenye maisha ya kubet..... hivi hakuna njia ilio sahihi ya kutengeneza 500 ikupe pesa zaidi?
Watumie emailduh mi ndo nilikuwa nasubiri mtaji hapo, kumbeeee
Vitoto vya primary vinafanya nini humu aiseeKWANINI uji ingize kwenye maisha ya kubet..... hivi hakuna njia ilio sahihi ya kutengeneza 500 ikupe pesa zaidi?