FRUIT TREE
JF-Expert Member
- Jun 7, 2018
- 698
- 819
SportyBet
496A38
496A38
Kuna ushindi wa goli 3 kwa Arsenal. Achana na odds. Tulikua tunamhofia Leicester hivyo hivyo na akawa anapeleka.Sportybet Arsenal ana 1.51
Bepatwa Arsenal ana 1.48
Koh tufanye mahombi nduguHaya sasa, nilikua kazini toka saa tano asbh..
Sasa ni muda wa kusubiria matokeo yatakuaje.
Muda wa kusonya sasa.
All the best wakuu
Tupia codeKoh tufanye mahombi ndugu
Mh sasa itakuwaje na tushatandika majamviMy brothers wazee wa mikeka hii mechi ya Arsenal na Everton ingekuwa vyema kama mngeiacha ipite hata kama ina odds nzuri. Everton haijawah kufungwa na arsenal nyumbani tangu 2017. Angalizo lingine Everton pia wana kocha mpya Sean dyche ambae anasifika kwa kupaki basi balaa!
*Lolote linaweza kutokea hivyo hi mechi ni 50/50 haya ni maoni yangu na ufuatiliaji wangu
Everton wamecheza mara ya mwisho 21 jan hivo wamepumzika siku 14
Arsenal wamecheza mara ya mwisho 27 jan hivo wamepumzika siku 8.
Wote walifungwa mechi zao za mwisho.
Game inakaribia kuanza All the best comrades!
Tuombe Mungu maana hamna tena namna, kuna 200 subiri nimuue arsenal tuone.Mh sasa itakuwaje na tushatandika majamvi
Kuwa na amani ni 50/50 na hayo ni kwa mtazamo wangu so yanaweza tokea au yasitokee! Relax half an hour imebaki.Mh sasa itakuwaje na tushatandika majamvi
kama group ni private hakuna haja ya kujoin maana hatutegemei wewe tu ndio uwe unaakili nyingi za kuinda mikeka wenzako hawanaHabar Wana jf
Niko hapa kwa kushare mamb kadhaa kuhusu mikeka ...NIMETENGENEZA 240000 ndani ya mwezi wa kwanza (January) kwa mtaji wa 20000 tu
NIENDE KWENYE UZI DIRECT. natafuta odds 1.2-1.3+ tu za uhkika ambazo ushindi ni na kuingiza kupato Cha 5000+ kwa siku...haiitaji ela ya hark Kwan hapa tunainvest na muda mwingine unawez ukapata odds 1.2-1.3+ za uhak za asubuh na ukastake Tena mkeka wa jion na kutengezez 9000+ kwa siku na nimeamua kutengeneza group kwa ajir ya kusaidia vjn wenzangu kwenye hili Kwan kubet ni investment na sio kama wengi wanavyozania kua ni bahat nasibu na sas nimeiongeza mtaji na kua jumla 40000 kwa ajir ya kutengeneza 10000+ kwa siku BETTING INALIPA UKIWA MAKIN NA KUAMUA KUINVEST. Kwan betting ni biashara kama biashara nyingin kwa ambae yupo tayr kua pamoj katk hili nitatuma link kwa ajir ya kujoin... Hii ni mikeka ambayo tumeanza nayo mwezi FEBRUARY View attachment 2505879View attachment 2505880View attachment 2505881
Yap! Sometimes nature doesn't lie.....I think GG is the best option in English Premier League.... Especially kwenye hii mechi ya arsenal na mechi ya liverMy brothers wazee wa mikeka hii mechi ya Arsenal na Everton ingekuwa vyema kama mngeiacha ipite hata kama ina odds nzuri. Everton haijawah kufungwa na arsenal nyumbani tangu 2017. Angalizo lingine Everton pia wana kocha mpya Sean dyche ambae anasifika kwa kupaki basi balaa!
*Lolote linaweza kutokea hivyo hi mechi ni 50/50 haya ni maoni yangu na ufuatiliaji wangu
Everton wamecheza mara ya mwisho 21 jan hivo wamepumzika siku 14
Arsenal wamecheza mara ya mwisho 27 jan hivo wamepumzika siku 8.
Wote walifungwa mechi zao za mwisho.
Game inakaribia kuanza All the best comrades!
ukiona group ni private hlf mtu anajisifi sifia sijui kusaidia vijana kumbe muuza mikeka nii ujinga nipigwe na mrusi au muhindi pia nipigwe na muuza odds nitakua bwege sanaHabar Wana jf
Niko hapa kwa kushare mamb kadhaa kuhusu mikeka ...NIMETENGENEZA 240000 ndani ya mwezi wa kwanza (January) kwa mtaji wa 20000 tu
NIENDE KWENYE UZI DIRECT. natafuta odds 1.2-1.3+ tu za uhkika ambazo ushindi ni na kuingiza kupato Cha 5000+ kwa siku...haiitaji ela ya hark Kwan hapa tunainvest na muda mwingine unawez ukapata odds 1.2-1.3+ za uhak za asubuh na ukastake Tena mkeka wa jion na kutengezez 9000+ kwa siku na nimeamua kutengeneza group kwa ajir ya kusaidia vjn wenzangu kwenye hili Kwan kubet ni investment na sio kama wengi wanavyozania kua ni bahat nasibu na sas nimeiongeza mtaji na kua jumla 40000 kwa ajir ya kutengeneza 10000+ kwa siku BETTING INALIPA UKIWA MAKIN NA KUAMUA KUINVEST. Kwan betting ni biashara kama biashara nyingin kwa ambae yupo tayr kua pamoj katk hili nitatuma link kwa ajir ya kujoin... Hii ni mikeka ambayo tumeanza nayo mwezi FEBRUARY View attachment 2505879View attachment 2505880View attachment 2505881
Kila siku hao jamaa zilnaletwa kesi zao matatizo hayaishi kwaoHivi Kwenye hii kampuni ya Hela bet pesa unatoaje maana naona kwenye mobile payment wanaleta tigo tu wakati Mimi namba ya account ni voda.