B Prosper
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,210
- 3,579
Kama mimi tuChelsea kanifilisi kwa kutotoa goli 1
Kama mimi tuChelsea kanifilisi kwa kutotoa goli 1
Ya betpawa nime edit kidogo6914E39E
8E52E3A sporty
CA05CC6
695FBD4 betpawa
Okay brother tembea humu comrade wangu!View attachment 2505722
Hata mimi toka juzi nasita kumuwekasijui kwanini leo ninamhofia aseno....... unaweza kuta kanji ananitoa kwenye reli maana aseno ni uhakika
Liverpool Leo anashinda kapoteza mechi nyingi Leo uhakikaWadau nilikuwa nasuka mkeka hapa, mechi ya wolves v liver nimempa liver. Lakini kuna kumbukumbu mbaya inanijia liver alishachana mkeka kama sio mwaka 2019 au 20 tena yeye ndin alihangaika kuchomoa.
Wenzangu mnaonaje kumdhamini? Au tumpite kama hatumwoni!
Hapo kanji anakutoa kwenye reli tu, gem za mchana zina maajabu yake hasa kwa zile timu ndogo zenye ubora kwa wakati huo, mfano ingekuwa Newcastle, Brighton v Arsenal ungehofia lakin si kwa Everton, sema leo inaweza toa under 2.5 au goli nyingi 5+sijui kwanini leo ninamhofia aseno....... unaweza kuta kanji ananitoa kwenye reli maana aseno ni uhakika
Kuna ushindi wa goli 3 kwa Arsenal. Achana na odds. Tulikua tunamhofia Leicester hivyo hivyo na akawa anapeleka.Sportybet Arsenal ana 1.51
Bepatwa Arsenal ana 1.48
Koh tufanye mahombi nduguHaya sasa, nilikua kazini toka saa tano asbh..
Sasa ni muda wa kusubiria matokeo yatakuaje.
Muda wa kusonya sasa.
All the best wakuu