Amani R Mbuya
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 219
- 139
Liver ndo kaharibuPesa hiyo
Liver ndo kaharibuPesa hiyo
mmmmh!.......kuna jamaa kapoteza 1.5 million jana mkeka wake ulikuwa unasema
bayern over 0.5 goals
dortmund over 0.5 goals
hivi hii betting imekuwaje cku hzi
Tatizo la kubet kwa kufata jina la team linawaathiri watu wengi. H.Berlin vs Dortumnd mechi ilikua ngumu hata wadau wengi wa statistics walitabiri drawjamaa jana kapoteza 1.5 million kwa mkeka huo apo chini
bayern over 0.5 lost
dortmund over 0.5 lost
hii betting imekuwaje cku hizi
Jitahidi kukaa mbali na league za Italy na turkeyLeo natok,Kihivyo
Mkuu Leicester saiv wapo on fire hamna cha game kuwa fixed pale. Tatizo mnabetia majina. Msimu huu Leicester ni hatari. Hapigwi kizembe.labda game ilikuwa fixed na alijua.. inawezekana maana hivi karibuni mara nyng kunakuwa na matokeo ya ajabu sana na kusikitisha
Na invest kwenye research ya betting kiujumla nikirud hawa mbwa popote duniani watakiona cha moto.. Majinga yananyoosha madevu tu kazi kutupiga kila siku.. matunda ya research ntayaanika hapahapa hata kama itachukua mwaka na zaidi.
Mkuu pamoja.nami kuna option bado nazifanyia researchNa invest kwenye research ya betting kiujumla nikirud hawa mbwa popote duniani watakiona cha moto.. Majinga yananyoosha madevu tu kazi kutupiga kila siku.. matunda ya research ntayaanika hapahapa hata kama itachukua mwaka na zaidi.
okkkkkkkkmnao muua PSV fikilieni mara 2 kabla ujamuua,