princessbet tanzaniaBetting site gani hii?
Apo mkuu ili isome baada ya kudeposit kawaida kwa simu hua Kuna sms ya code unatumiwa mda huohuo alfu ndio unaitumia kuithibitisha kwny akaunt yake then mzigo unasoma mda huohuoWakuu nimedeposite pesa kwenye new ac ya gal sport beting lkn kwenye ac naona tu bonus sioni pesa niliodeposite mwenye ujuzi anipe mwanga.
Sent from my TECNO R6 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kampuni gani mkuu?
Kampuni gani hii mkuu?Namshukuru Mungu odd 28 zote wonView attachment 1492834
Kwa kutumia System Bet 2/15, nimepoteza michezo 4 lakini nimerudisha stake yangu..Tujaribu Odds 200+.. System Bet 2/15
View attachment 1492117
Shukrani mkuu nimefanikiwaApo mkuu ili isome baada ya kudeposit kawaida kwa simu hua Kuna sms ya code unatumiwa mda huohuo alfu ndio unaitumia kuithibitisha kwny akaunt yake then mzigo unasoma mda huohuo
Mi tangu juzi ndugu,na hela haionekani kwenye akaunti ya betika...kuwaulza wanasema n tatzo la mtandaoWakuu betika ni kampuni ya kiboya sana nimetoa pesa tangu Jana lakinipaka Leo haijanifikia yaani hawa wahuni nawatabiria uharibifu tu watarudi kwao Kenya muda so mrefu