Wazee kuweni makini na ligi hizi ndogo, Kuna clip nimeona Kuna jamaa ligi ya Kenya kakutwa na mchezaji wanapanga matokeo jamaa ameshushiwa kipigo Cha kufa mtu na wenye timu 😃😃
 
IMG_4638.jpeg
IMG_4638.jpeg
 
Nimekaa kimya kwa mdaa sasa lakini leo nasema ukweli.
mtoto wa mjomba we jamaa hii mikeka yako naipiga sana, kwasababu nikipata hint apa naenda naboresha na wa kwangu natoka na odds zangu chache natulia.Pia ni mizuri kwa mtu ambaye anazijua timu vizuri.
NB;Hapa wengi mikeka wanayoiweka ni mizuri lakini sio confidential sana,pia ukiwa na uwezo wa kuchagua timu zako vizuri basi utapata tu maokoto.
Big up kiongozi usichokee kuleta hint
Tuko pamja mkuu, asante kwa mrejesho. Kanji ndo adui wetu, acha tuendelee kumtafuta
 
Back
Top Bottom