King'amuzi cha continental ndo mpango mpango!!

Bado unauliza swali kama hili?kweli watu wagumu wa kuelewa MAMLAKA YA MAWASILIANO INA KAMPUNI TANO ZINAZORUSHA MATANGAZO YAO BURE
1.CH TEN
2.TBC1
3.ITV
4.EATV
5.STAR TV.
HIZI HATA UKILETA KINGMUZI CHA WAPI SHARTI UZIRUSHE BURE.
mbona DSTV wanarusha TBC tu?
 
Mbona hicho cha kurekodi ninacho cha TING toka 2010!Hiyo cotinental bado haijawa habari ya mujini mkuu
 
Mbona hicho cha kurekodi ninacho cha TING toka 2010!Hiyo cotinental bado haijawa habari ya mujini mkuu kama ishu ni uwezo wa kurekodi
 
Mkuu hebu tujuze,
1. BEI YAKE
2. SOME INTERESTING CHANNEL
3. COST MonTH
4. WEBSITE YAO
2. TOFAUTI YAKE NA DIGI TEK
 
Last edited by a moderator:
mwisho wa matatzo ni dish la futi 6 na receiver ya mediacom au yoyote ile ukifunga c band yako moja unapata channel 11
 
TCRA bado ufuatiliaji wao wa hizi Kampuni zenye ving`amuzi kwa sasa sio mzuri.Zila chanel 5 walizosema zinaonyeshwa bure hata kama hujalipia malipo ya mwezi sio kweli.Mfano ni Kampuni ya TING usipolipa malipo ya mwezi ya sh.10000 huoni hata stesheni moja.Aidha hakuna mfumo wa kuripoti kwao wanapokukatia huduma hiyo na badala yake TCRA wanakwambia uwasiliane na watoa huduma.Ikiwa hili linawashinda sembuse huo utitiri wa ving`amuzi unaoashiria kuja hivi karibuni. Au labda wanahisa kwenye hii Kampuni ya TING ndio maana wanachemka na hakuna wa kuwakemea.
 
Mkuu Mjepu nadhani nia yako ni kusema "visimbuzi" na sio "visambuzi". Kisimbuzi kinafanya kazi ya kusimbua. Hicho unachokitaja "kisambuzi" kitakuwa kinafanya kazi ya kusambua, sidhani kama ndio kusudio lako.
Asante kwa kuthamini kiswahili.

Aksante mkuu Maamuma kwa maelezo mazuri sana.
 
Last edited by a moderator:
soma basi hii kitu! then fanya utafiti TZ hao jamaa wanauza ving'amuzi aina gani DVB-T2 au DVB-T1 maana DVB-1 imapigwa marufuku huko UG! tusivute mjadala bure!

Ugandans allege Star Times selling fake decoders Send to a friend
Thursday, 27 September 2012 09:37

By Nicholas Kalungi,BusinessWeek Correspondent
Kampala. The Uganda Communications Commission has directed Star Times - a pay TV service provider - to immediately withdrawal DVB-T1 set top boxes from the market.

UCC issued the order after consumers petitioned the industry regulator to clarify on a recent announcement that approved DVB-T2 set top boxes as the standard technology for the switch from analogue to digital broadcasting.
In a petition, the Uganda Consumers’ Protection Awareness Association, asked UCC to act on Star Times which they accused of advertising and selling DVB-T1 set top boxes yet they had been suspended.
“Suspend Star Times from operating digital television broadcasting services till such a time when it has upgraded its technology to DVB-T2 in compliance with UCC standards,” Mr Mulwani Taminwa the association’s chairman said in a statement.
Eng Godfrey Mutabazi, the UCC executive director told Daily Monitor on phone that the commission had written to Star Times (September 20) instructing the company to stop the sale of DVB-T1 set top boxes.
“We sent a letter to Star Times instructing them to stop selling DVB-T1 set top boxes. They must comply and immediately withdraw these set top boxes,” Eng Mutabazi said.
He added: “The standard for digital migration is DVB-T2 and nothing less. We agreed this is the best technology for the market and all service providers must comply.”
However, Mr Kevin Cehen, the Star Times chief executive officer told The Daily Monitor on Saturday that he had not received any such letter and was just hearing about the order from the media.
“We have not received any letter from UCC about the matter,” Mr Cehen said, adding: “The good news though is our DVB-T2 stock will be arriving before the end of this week and we shall replace all customers’ (Star Times) decoders with DVB-T2 set top boxes at no additional cost.”
The Daily Monitor could not independently verify whether the letter had been received although Eng Mutabazi insisted UCC had sent the letter, promising to furnish this newspaper with a copy tomorrow (Tuesday).
UCC’s directive comes exactly four months after it (UCC) announced that Uganda just like other East African member states had adopted DVB-T2 as a standard for the switch from analogue to digital.
This means only DVB-T2 set top boxes will operate after the digital switch is implemented. East Africa set December 31, 2012 as the deadline for the digital switch, however, it is highly doubted whether Uganda will hit the deadline.
Recently Mr Nyombi Thembo was quoted in this newspaper as saying that if Uganda fails to hit the East African deadline, it would shift its focus to December 2015, the internationally set deadline for the switch.

From the sale of 130,000 disputed decoders, Star Times has raised UShs7.8bn (about TSh4.836 billion).
John Mnyika Zitto @Nnauye Jr tusaidieni wateja wa stat times hatujui tunachouziwa ndio technolojia ya sasa au ya kale
 
Last edited by a moderator:
star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. mpango ni king'amuzi cha continental aina ya T2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. unatumia flash na kila kitu. mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. mia

DSTV pia tupa kule?
 
Mzee wa mia mbona hufunguki kujibu maswali ya watu humu??

star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. Mpango ni king'amuzi cha continental aina ya t2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. Yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. Unatumia flash na kila kitu. Mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. Mia
 
star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. mpango ni king'amuzi cha continental aina ya T2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. unatumia flash na kila kitu. mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. mia

hahahaa kama nakuona vile unavorusha makono, eti tupa kule, tupa kule..
mbona hata digitek pia tunarekodi!
 
Ambao wameshanunua watujulishe channel zilizopo naona Star tv wanatangaza vimeanza kuuzwa Dar na Mwanza kwa laki na elfu 30 bila kutaja channel wanataja idadi tu.
 
kuna mwenye hichi king'amuzi atupe mrejesho wa perfomance yake...
vipi kuhusu quality (audio+picture) ..?
signal strength ikoje..?
kuhusu antenna inahitaji ipi..?
 
Back
Top Bottom