mkalimani4
Member
- Nov 30, 2016
- 26
- 29
Ni takribani imepita miezi mitatu tangu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilipoagiza Wamiliki wa Ving'amuzi; Continental, Ting, Digitek na Star times waonyeshe Channel za nyumbani hata kama wateja wao hawajalipia malipo ya kila mwezi.
Agizo hilo lilifuatwa kwa muda mfupi tu na kwa sasa King'amuzi cha Continental wameachia bure Channel moja tu ambayo ni TBC.
Ninawakumbusha majukumu yenu nyie TCRA kuwa King'amuzi hicho kipigwe faini kubwa ili iwe fundisho kwa Makampuni mengine yaliochukua Leseni ya bei chee kwa masharti ya kuonyesha chaneli za nyumbani pasipo kulipisha wateja wao.
Agizo hilo lilifuatwa kwa muda mfupi tu na kwa sasa King'amuzi cha Continental wameachia bure Channel moja tu ambayo ni TBC.
Ninawakumbusha majukumu yenu nyie TCRA kuwa King'amuzi hicho kipigwe faini kubwa ili iwe fundisho kwa Makampuni mengine yaliochukua Leseni ya bei chee kwa masharti ya kuonyesha chaneli za nyumbani pasipo kulipisha wateja wao.