ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Jamani sisi tulio na Startimes tumemiss Doto Bulendu wa Star TV na vipindi vyake vya Jicho letu ndani ya habari cha Jumamosi na Mijadala ya Jumapili asubuhi. Nini kinaendelea au wako kwenye king'amuzi chao cha Continental tu?