Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wa pili Zomba na wengine utaongezea wewe!!!Ok,taja wengine tuliopeteza direction humu jamvini,wa kwanza mimi ehee mwingine?
1.DUDU JEUSI
2..............................
Wa pili Zomba na wengine utaongezea wewe!!!Ok,taja wengine tuliopeteza direction humu jamvini,wa kwanza mimi ehee mwingine?
1.DUDU JEUSI
2..............................
Hakuna uhuru usio na mipaka , haya yote wakulaumiwa ni CDM na sheria wanazijua, kibali chakufanya haya maandamano walipewa ? huwezi shindana na dola hata siku mojaHeading siyo hiyo:
HUYU NI KIJANA ALIYEUAWA NA POLISI AKITIMIZA HAKI YAKE YA KIKATIBA
Napata wasi wasi na uwezo wakufikiri wa kwako, soma historia ya syria ndio utajua sababu za kule na za tanzania pia, ni vitu viwili tofauti kabisa unavyo vilinganisha.Hii ni ishara mbaya sana kwa CCM, tawala zote zilizotumia mtutu wa bunduki zilianguka na hata zinazoendelea kufanya hivyo ikiwamo Syria na Tanzania zitaanguka very soon, ni sula na kusubiri na kuona huku tukiendelea na M4C ambayo inawafanya wasilale.
Hakuna uhuru usio na mipaka , haya yote wakulaumiwa ni CDM na sheria wanazijua, kibali chakufanya haya maandamano walipewa ? huwezi shindana na dola hata siku moja
Chadema ndio waliofyatua Risasi. Kila mkoa lazima muue mtuMnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.
Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!
Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.
Kwani Serikali ya CCM na ya Assad zinatofauti gani wewe gamba?Napata wasi wasi na uwezo wakufikiri wa kwako, soma historia ya syria ndio utajua sababu za kule na za tanzania pia, ni vitu viwili tofauti kabisa unavyo vilinganisha.
Kula tano kamanda......ukombozi unakaribia."Wao wana majeshi na silaha nzito sie tuna mungu,wao wamejifunza kuua sie tunajifunza kufa"--Peopleessssssssssssssssss!!
Mnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.
Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!
Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.
Mwenzenu amekufa nyie mpo bize kupiga mapicha mwili wa marehemu ili msambaze mitandaoni!!
Lawama ziwaendee Chadema kwa kutotii amri ya polisi.
Mkuu acha kushabikia mauwaji, kibali kilitolewa kuandamana that why gari la matangazo lilitangaza juzi Jpili siku nzima, kuna maandamano, hakuwa chombo chochote kilichokataza maandamano, kulikuwa na kibali cha polisi tena ni halali baada ya CDM kukubaliana na polisi.Hakuna uhuru usio na mipaka , haya yote wakulaumiwa ni CDM na sheria wanazijua, kibali chakufanya haya maandamano walipewa ? huwezi shindana na dola hata siku moja
Mwenzenu amekufa nyie mpo bize kupiga mapicha mwili wa marehemu ili msambaze mitandaoni!!
Lawama ziwaendee Chadema kwa kutotii amri ya polisi.