swala la maandamano cyo ombi,ww na woga wa fikra za azimio la arusha endelea nazo,cc tuliokomboka kifikra tutapambana mpaka mwisho mchango wetu ni vigum kuutambua lakn punde utajua nn tulipigania!
Vipi Fuso zilikuwepo?
Mnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.
Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!
Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.
Kumbe fuso ni misikule ya ccm?Uliza Mbowe na Slaa walikuwepo au wamewachombeza misukule yao?
DUDU JEUSI
CHADEMA ni janga la kitaifa!
Mnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.
Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!
Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.
Sikulazimishi uamini ninachokiamini!!!!!
Endelea kuabudu unachokiamini na mm ntaamini ninachokiamini mkuu.
Kamwambie mama yako maneno hayo umeambiwa huyu alikuwa anaandama? Pumbavu zako unafurahi mtu asiyekuwa na hatia kuuliwa na serikali!!!!!!!!!!!!!!!! Huna hta huruma angekuwa mdogo wako ungechongoa domo lako lililooza kwa maneno ya kejeli kama haya??? Muwe wastarabu hata kama mmetumwa na mama zenu
Aliwazalo mjinga ndio litakalomtokea,mapinduzi ya damu huzaa haki. Luther king steven biko sohlomon mahlangu malcom x che guavarra ongezea list. RI..P ALI sote ni njia yetu hiyo tunakuja kwa staili tofauti.Damu yako ni wino UTAKAOANDIKA SAHIHI YA kiapo cha M4C hapo 2015 tunapokabidhiwa kuingia magogoni.