Huyu ndiye kijana aliyepoteza maisha kwenye mvutano baina ya police na CHADEMA

Police wa tz wastaarabu sana ingekua kenya au nchi zingine wangejamba cheche wange kunya moto.
 
Mnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.

Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!

Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.
Kwa hiyo ndiyo hukumu ya kuandamana ambayo raia anastahili
 
Ama kweli CHADEMA ilaaniwe maana ni janga la kitaifa,sasa kama kamanda aliagiza maandamano no why wao CHADEMA walazimishe maandamano?ningekua na uwezo ili lichama ningelifuta kabisaaaaaa!
na ndo maana huna uwezo utabaki kuwa kivuli kinachoishi
 
Kwa hiyo ndiyo hukumu ya kuandamana ambayo raia anastahili

Raia anastahili kuandamana anaporuhusiwa na huwezi kuandamana ku disrupt kazi za watu ila kwa ubishi tu. Dola linakwambia No! wewe bado unafanya ubishi unaandama, unauwa halafu unasema askari wameuwa? huo ni uvunjifu wa amani wa hali ya juu.

Unaandamana unadai nini?
 
Polisi waache kutumiwa kisiasa itakuja kuwagharimu hasahasa viongozi wao ambao wanawaamrisho walio chini yao kuua raia wasio na silaha. Nawakumbusha polisi kuwa nchi hii si yao na hao makuwadi wao ccm. Lazima wajiulize kuwa chama kingine kikitawala itakuwaje wao wakiwa wameharibu. Si watashitakiwa kwa mauji ya kiraia? Wao wapo kwa ajili ya kulinda raia na inashangaza wanapoingiza ushabiki wa kisiasa na kuamua kuua raia badala ya kuwalinda. Sasa tumechoka na mauji yao na kuna siku tutasitisha shughuli zote na wote kuamua kuingia barabarani ili tuone kama wanao uwezo wa kutuua wote. Polisi kataeni kutumiwa na ccm.
Mh, jamani mbona mnaleta mambo kama ya kwetu Congo?
 
Hizo risasi za zilizowapiga hao waendesha baiskeli zilitoka wapi? wakati kamanda alisema hwawkutumia risasi?
 
Hakuna kitu kinafanyika kwa bahati mbaya ,hata mauaji haya yalifanyika kwa sababu au maelekezo maalum tunataka kusikia hatua zilizochukuliwa na jeshi au serikali kwa muuaji ambaye ni mwajiriwa wa jeshi hilo . Tutafurahi endapo tutasika amepandishwa kizi mbani kwa kosa la maauaji .na endapo hili halitafanyika 2015 ccm kuingia ikulu itakuwa ni sawa na tajiri kuingia peponi
 
Mnaambiwa msifanye maandamano mnang'ang'ania, ona sasa, mnapoteza roho za watu kwa ubishi wenu.

Mkiulizwa maandamano ya nini? hamjui!

Hiki chama kifungiwe tu, hakina mwisho wa amani.

Wananchi tusikate tamaa, tunajua kabla ya ukombozi kukamilika damu nyingi zitamwagika. Lakini wanaofanya unyama huu waorodheshwe siku moja watapanda kizimbani kujibu mauaji wanayofanya
 
Back
Top Bottom