jakaya na ccm ndiyo janga la taifa.CHADEMA ni janga la kitaifa!
funguka zaidi unaamanisha nini?Mungu hasinzii ! !. Mungu hali chapati ! !. CDM wanachukua dola lakini , mtu hata mmoja akiuawa kipindi chenu; hata mwaka mmoja utakua ni mrefu sana kukaa kwenye serikali.
Ama kweli CHADEMA ilaaniwe maana ni janga la kitaifa,sasa kama kamanda aliagiza maandamano no why wao CHADEMA walazimishe maandamano?ningekua na uwezo ili lichama ningelifuta kabisaaaaaa!
Ok,taja wengine tuliopeteza direction humu jamvini,wa kwanza mimi ehee mwingine?Kumbe unaweza mwona member kama huyu ana akili kichwani kumbe kabeba kwenye masaburi yake!
Kaombe uongozi wa juu uje uifute!
Lakini hakuna ajabu hata nawe ni mtumwa kama wale wenzio waliopoteza mwelekeo siku hz humu jamvini.
Pole sana!
CHADEMA ni janga la kitaifa!
Sikulazimishi uamini ninachokiamini!!!!!Watanzania wajinga ni wachache siku hizi na kwa taarifa yako hatudanganyiki. CCM na vyombo vyote vya usalama ndio janga la taifa hamtaki kusoma alama za nyakati.
Kumbe unaweza mwona member kama huyu ana akili kichwani kumbe kabeba kwenye masaburi yake!
Kaombe uongozi wa juu uje uifute!
Lakini hakuna ajabu hata nawe ni mtumwa kama wale wenzio waliopoteza mwelekeo siku hz humu jamvini.
Pole sana!