Cha Moto
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 945
- 153
Inaonekana sekta ya madini hailipi kwa hakika,
Serikali isimamishe uvunaji/uchimbaji wa madini kwa wawekezaji mara moja,
Tusubiri baada ya miaka mitano ndio tuaangalie jinsi ya kuwekeza kwenye hii sekta ya madini.
Eneo lingine ambalo linasikitisha ni UTALII, sekta hii inaiingiza pesa nyingi
Uwezekano ni kuwa wakusanya kodi hawafuatilii au zinapenya kwa wajanja, nayo iangaliwe upya
Serikali isimamishe uvunaji/uchimbaji wa madini kwa wawekezaji mara moja,
Tusubiri baada ya miaka mitano ndio tuaangalie jinsi ya kuwekeza kwenye hii sekta ya madini.
Eneo lingine ambalo linasikitisha ni UTALII, sekta hii inaiingiza pesa nyingi
Uwezekano ni kuwa wakusanya kodi hawafuatilii au zinapenya kwa wajanja, nayo iangaliwe upya