Makampuni makubwa sugu yasiyolipa kodi Tanzania

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,111
115,906
Kuna thread iliwekwa hapa zamani kidogo na marehemu Regia Mtema
orodha ya makampuni kubwa 20 yanayolipa kodi Tanzania

Katika orodha hiyo kampuni ya pombe za kienyeji ya KIBUKU ilikuwepo
katika top 20 pamoja na Konyagi
lakini

makampuni kama haya hayakuwepo
1. Vodacom
2. Tigo
3. Oilcom
4. Gapco
5. Lake oil
6. Puma/bp
7. Murza oil
8. Shelys pharmaceutical
9. Mansour daya
10. Songas
11. Artumas
12. Symbion
13. Iptl
14. Ticts
15. Acacia
16. Pan african
17. Statoil
na mengine meengi sana

Sasa mjadala ulikuwa makampuni haya ama yanakwepa kodi au yanalipa kidogo sana

====================
Wakuu,Salaam!

Kwa wale mliofuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wa kuahirisha Bunge Jana alitoa pongezi na kuzitaja Makampuni au Mashirika yanayoongoza kwa kulipa Kodi hapa nchini.

Alisema kwa kipindi Cha mwaka 2005 na 2011 Makampuni hayo yamekuwa yakifanya vizuri katika ulipaji Kodi.

Aliyataja Makampuni hayo Kama ifuatavyo


"Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011.

Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:

i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii. National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);
iii. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);
iv. National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);
v. CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);
vi. Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);
vii. Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);
viii. Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);
ix. Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);
x. Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);
xi. Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);
xii. Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);
xiii. TICTS (Shilingi Bilioni 25.9);
xiv. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na
xv. Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5)."



Source: Speech ya Waziri Mkuu Bungeni

Haya Wakuu na tujadili na kutoa maoni yetu...
 
Teheth!

Umesahahu makampuni yote ya Madini,

By the way TICTS wazee wa makontena wanaingiza kaisi gani?

IPTL je?
Songas ?
Tanesco wenyewe wanalipa Kodi kiasi gani?
wale wazee wa BULK Procurement kwenye Mafuta wanalipa ngapi?
haya makampuni ya mafuta yenye vituo kila kona, je wanlipa ngapi?

yani hao wote wanzidiwa na KIBUKU ?
 
Teheth!

Umesahahu makampuni yote ya Madini,

By the way TICTS wazee wa makontena wanaingiza kaisi gani?

IPTL je?
Songas ?
Tanesco wenyewe wanalipa Kodi kiasi gani?
wale wazee wa BULK Procurement kwenye Mafuta wanalipa ngapi?
haya makampuni ya mafuta yenye vituo kila kona, je wanlipa ngapi?

yani hao wote wanzidiwa na KIBUKU ?


lengo la thread ni kuyataja yote
ili hii serikali mpya tuirahisishie kazi
halafu songas hata mitambo ya Tanesco kama sikosei

kuna kampuni moja au mbili zilipewa mitambo na tanesco na kufanya biashara ya kuiuzia tanesco umeme
'zilipewa' au 'zilinyang'anya'
 
The Boss

Ningependa kupata orodha ya walipa kodi wakubwa Tanzania ambayo umeitaja.

natka kuona uwiano wa kodi wanazolipa akina matajiri wakubwa wa Tanzania. Bhakresa, Rostam Azizi, Mengi, Manji, Mohammed Dewji nk
 
The Boss

Ningependa kupata orodha ya walipa kodi wakubwa Tanzania ambayo umeitaja.

natka kuona uwiano wa kodi wanazolipa akina matajiri wakubwa wa Tanzania. Bhakresa, Rostam Azizi, Mengi, Manji, Mohammed Dewji nk


Orodha ipo TRA Bakhresa na Mo wapo... Invisible tunaomba ile orodha please ya thread ya Regia
 
Last edited by a moderator:
Here under is the an extract from the Prime Minister speech;
Mheshimiwa Spika,
1. Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011. Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:-


i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii. National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);
iii. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);
iv. National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);
v. CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);
vi. Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);
vii. Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);
viii. Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);
ix. Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);
x. Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);
xi. Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);
xii. Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);
xiii. Tanzania International Container Terminal Services (Shilingi Bilioni 25.9);
xiv. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na
xv. Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5).
 
Ndo maana kumbe kagame anatucheka
yaani bandari wanazidia na nbc bank kulipa kodi

bandari wamekalia kujilipa mishahara minono na marupurupu kibao huku walipa kodi kiduchu
 
Mnaweza kuvumilia harufu ya usaha wa majipu makubwa yakitumbuliwa ?
 
Inakuwaje matajiri wakuu watano Mohammed Dewji, Rostam Aziz, Bakhresa, Reginald Mengi na Mafuruki, makampuni yao yanayowafanya wawe matajiri hivyo hayaongozi kwa ulipaji kodi?
 
Back
Top Bottom