lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
Baada ya kusoma makampuni bora kwa ulipaji kodi
Kutokana na vodacom kusema kila siku wao ni kampuni kubwa/mama ya mawasilino ya simu na internet nchi , inapokuja kwenye suhara la kodi wanakuwa sio kampuni mama/kubwa nchini, hapa wananchi tunakila sababu ya kuwa wajibisha hawa watu maana uwezo tunao.
Tutoe mfano kwa haya makamuni ya simu na tuipe support Airtel kwa uzalendo wao na hii itaijengea nchi heshima, sisi sio shamba la bibi tukubaliane chakufanya dhidi ya haya makapuni au waje hapa watueleze TATIZO ni nini?
Nawasilisha.
Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011.
Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:
i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii. National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);
iii. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);
iv. National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);
v. CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);
vi. Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);
vii. Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);
viii. Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);
ix. Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);
x. Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);
xi. Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);
xii. Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);
xiii. TICTS (Shilingi Bilioni 25.9);
xiv. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na
xv. Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5).
Kutokana na vodacom kusema kila siku wao ni kampuni kubwa/mama ya mawasilino ya simu na internet nchi , inapokuja kwenye suhara la kodi wanakuwa sio kampuni mama/kubwa nchini, hapa wananchi tunakila sababu ya kuwa wajibisha hawa watu maana uwezo tunao.
Tutoe mfano kwa haya makamuni ya simu na tuipe support Airtel kwa uzalendo wao na hii itaijengea nchi heshima, sisi sio shamba la bibi tukubaliane chakufanya dhidi ya haya makapuni au waje hapa watueleze TATIZO ni nini?
Nawasilisha.