Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
vodacom n sehemu ya serikal itailipa vip serikal?Vodaaaaaaaaa mnatuangusha mnakuwa kama wale wa madini ambao tumenawa mikono kukusanya kodi
vodacom n sehemu ya serikal itailipa vip serikal?Vodaaaaaaaaa mnatuangusha mnakuwa kama wale wa madini ambao tumenawa mikono kukusanya kodi
Hebu tupe ushaidi, labda tunaweza kulifanyia kazi!Hiyo vodacom si ndio rostam mwenyewe au?
Toka lini akalipa kodi Tanzania?kodi zote analipa uarabuni
Mnabweka tu kuilaumu serikali kwa kutokusanya kodi!
Hamjui kuwa kukusanya kodi ni jukumu la kila mwananchi na si serikali!!
Hatuitetei CCM, tunajarinu kuwaelimisha mambumbumbu kama wewe!
nataman kuihama sayar, nisilikie hata jina la Tanzania. AibuMkuu haya maneno yanaweza yakakufanya ubadili uraia !
Kuna aina nyingi za kodi, iliyoripotiwa hapa na huyu muandaa maadamano wa CDM
Naona hujui unachokizungumza!Lini utaacha kufikiri kwa kutumia masaburi?<br />
Nenda kakusanye kodi wewe uone kama hujatolewa mkuku kama kuku wa Eid
.....
Mbona Tanzania ndio mzalishaji mkubwa wa 3 wa dhahabu duniani na migodi inayoongoza hapa Tz, ni ile ya GGM na Barrick wakati kwenye ripoti ya PM, hawapo?
Vodaaaaaaaaa mnatuangusha mnakuwa kama wale wa madini ambao tumenawa mikono kukusanya kodi
Hebu tupe ushaidi, labda tunaweza kulifanyia kazi!
Where's Vodacom, Geita Gold, Bulyanhulu, Artumas, Songas,North Mara, Buzwagi????????
Hawalipi kodi, bado wanajiendesha kwa hasara
Wakuu,Salaam!
Kwa wale mliofuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wa kuahirisha Bunge Jana alitoa pongezi na kuzitaja Makampuni au Mashirika yanayoongoza kwa kulipa Kodi hapa nchini.
Alisema kwa kipindi Cha mwaka 2005 na 2011 Makampuni hayo yamekuwa yakifanya vizuri katika ulipaji Kodi.
Aliyataja Makampuni hayo Kama ifuatavyo;
1. Tanzania Breweries Company(TBL) Shilingi Bilioni 165.4
2. National Microfinace Bank(NMB). Shilingi Bilioni 108.6
3. Tanzania Cigarette Company(TCC). Shilingi Bilioni 92. 1
4. National Bank of Commerce(NBC). Shilingi Bilioni 89.9
5. CRDB LTD Shilingi Bilioni 79.2
6. Tanzania Ports Authority(TPA) - Shilingi Bilioni 76.8
7. Tanzania Potland Cement - Shilingi Bilioni 73.4
8. Airtel(T) LTD - Shilingi Bilioni 63.6
9. Tanga Cement Company - Shilingi Bilioni 43.6
10. Standard Charted Bank - Shilingi Bilioni 40.0
11. City Bank. Shilingi Bilioni 35.7
12. Resolute(T) LTD. Shilingi Bilioni 32.1
13. TICTS. Shilingi Bilioni 25.9
14. Tanzania Distillers LTD. Shilingi Bilioni 13.4
15. Group Five International. Shilingi Bilioni 9.5
Haya Wakuu na tujadili na kutoa maoni yetu...
Kwa kweli tunahitaji kufanya kitu juu ya hili ikibidi tuandamane kuishinikiza serkali ikusanye kodi ipasavyo