tazara

The TAZARA Railway, also called the Uhuru Railway or the Tanzam Railway, is a railway in East Africa linking the port of Dar es Salaam in east Tanzania with the town of Kapiri Mposhi in Zambia's Central Province. The single-track railway is 1,860 km (1,160 mi) long and is operated by the Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA).
The governments of Tanzania, Zambia and China built the railway to eliminate landlocked Zambia's economic dependence on Rhodesia and South Africa, both of which were ruled by white-minority governments. The railway provided the only route for bulk trade from Zambia's Copperbelt to reach the sea without having to transit white-ruled territories. The spirit of Pan-African socialism among the leaders of Tanzania and Zambia and the symbolism of China's support for newly independent African countries gave rise to TAZARA's designation as the "Great Uhuru Railway", Uhuru being the Swahili word for Freedom.
The project was built from 1970 to 1975 as a turnkey project financed and supported by China. At its completion, the TAZARA was the longest railway in sub-Saharan Africa. TAZARA was also the largest single foreign-aid project undertaken by China at the time, at a construction cost of US $406 million (the equivalent of US $2.67 billion today).TAZARA has faced operational difficulties from the start and was kept running by continued assistance from China, several European countries, and the United States. Freight traffic peaked at 1.2 million tons in 1986, but began to decline in the 1990s as the end of apartheid in South Africa and the independence of Namibia opened alternative transport routes for Zambian copper. Freight traffic bottomed out at 88,000 metric tons in Fiscal Year (FY) 2014/2015, less than 2% of the railway's design capacity of 5 million tonnes per year.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    DOKEZO Treni ya Mwakyembe imesitisha ratiba yake takribani wiki ya pili sasa

    Treni ya Mwakyembe imesitisha ratiba yake ndani ya wiki mbili sasa, Treni hiyo ambayo safari zake huwa ni kuanzia Tazara kuelekea Kigogo sokoni Jijini Dar es Salaam imekuwa msaada mkubwa kwetu Wananchi tunaoitumia. Sisi wananchi tuliokuwa tunaitegemea tunapitia adha kubwa ya usafiri kwa sasa...
  2. FaizaFoxy

    ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

    Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza. ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena. Reli ya kati na TAZARA...
  3. BARD AI

    Zaidi ya Abiria 300 wa Treni ya TAZARA kutoka Zambia wakwama Mbeya

    Abiria zaidi ya 300 wanaosafiri kwa gari moshi (Treni) kupitia reli ya TAZARA kutoka Nchi jirani ya Zambia,na Mikoa ya Songwe na Mbeya kuelekea Mkoa wa Dar es Salaam, wamekwama kwa zaidi ya saa nane katika stesheni ya TAZARA Mkoa wa Mbeya baada ya kichwa cha gari moshi hilo kupata hitilafu na...
  4. L

    China yapendekeza ukarabati wa reli ya TAZARA wenye thamani ya dola za Marekani bilioni moja

    Katika hali ya kufurahisha na kufufua matumaini, hivi karibuni balozi wa China nchini Zambia Bw. Du Xiaohui alimwambia waziri wa uchukuzi wa Zambia Bw. Frank Tayali, kuwa serikali ya China inapanga kutumia dola bilioni 1 za kimarekani kuifanyia ukarabati reli ya TAZARA, inayounganisha eneo la...
  5. JanguKamaJangu

    Abiria wa Treni ya TAZARA washushwa mpakani ili Treni Ipulizwe Dawa ya kuua vimelea vya Kipindupindu

    Abiria wa Treni ya TAZARA iliyotoka Zambia wameshushwa mpakani Tunduma ili Treni ipulizwe dawa ya kuua vimelea vya Ugonjwa wa Kipindupindu. Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Tunduma, Dr. Enock Mwambaraswa amesema hatua hiyo imekuja kutokana na taarifa za kuwepo kwa Ugonjwa wa Kipindupindu...
  6. The Burning Spear

    Hiki ndiyo Kibao cha kuonyesha Nyerere Road Pale Tazara Daraja la Mfugale

    Great Thinkers Hii ndiyo bongo aka nchi ya watu wasielewa wanataka nini. Mimi naamini uwekaji wa mbao za anwani ya makazi ulikuwa ni ufisadi uliopitiliza. Acha akina isack.mwigulu waje wachukue usukani wa baba zao. Imagine hiki hapa ndiyo kibao kuonyesha nyerere road pale mfugale afu kuna...
  7. Jamii Opportunities

    Regional General Manager at TAZARA December, 2023

    Position: Regional General Manager, Tanzania (Based In Dar Es Salaam) Reporting to: the Managing Director The successful candidates will manage, plan and control regional train operations. Duties: The main duties for the Regional General Manager include: Developing and implementing marketing...
  8. mirindimo

    Tazara kukabidhiwa wachina

    Kikosi kazi kutoka kwa kampuni ya serikali ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) kimefika Dar es Salaam kufanya ukaguzi kamili wa biashara na kiufundi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania-Zambia (TAZARA) kabla ya China kuichukua rasmi. CCECC inaendesha mazungumzo ya makubaliano...
  9. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi (Regional General Manager) TAZARA

    The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a bi-national railway company owned jointly by the Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia. The railway stretches from the port of Dar es Salaam in Tanzania to New Kapiri-Mposhi in Zambia, covering a distance of...
  10. Erythrocyte

    Uongozi wa TAZARA mnatia aibu , mnashindwaje kubadili hata balbu tu ?

    Tazara Makao Makuu Dar es salaam ilikuwa sehemu nzuri sana ya kupendeza , na hasa usiku , kwa yale mataa mazuri yaliyozunguka ofisi hizo , inasemekana yaliwekwa na Wachina . Sasa inaonekana yote ni kama yamezima kutokana na balbu kuungua , yapo yaliyozima yapata miaka 10 sasa , yaani kubadili...
  11. B

    TAZARA yapigiwa chapuo ifanyiwe ukarabati mkubwa na uendeshaji mpya

    Beijing, China RAIS HICHILEMA AIPIGIA CHAPUO TAZARA IKARABATIWE HARAKA https://m.youtube.com/watch?v=T2pHN2eVLJg Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA lawa agenda kubwa mezani wakati wa ziara ya rais wa Zambia. Ambapo mbali ya kusaini mikataba kadhaa ya makubaliano ya MoU, suala la...
  12. JanguKamaJangu

    Wakati wa ujenzi wa Reli ya TAZARA (1968 – 1975) zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa

    Wakati wa Ujenzi wa Reli ya TAZARA zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa, kati yao Wachina walikuwa 64. Ujenzi ulihusisha Vibarua na Wahandisi 38,000 kutoka Tanzania na Zambia, pia timu ya Wataalam na Wahandisi 13,500 kutoka China. Reli hiyo iliyojengwa kati ya Mwaka 1968...
  13. masopakyindi

    TAZARA inahujumiwa na viongozi?

    Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini. Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini. Wafanyabiashara...
  14. Replica

    Rufiji Kumenoga: TAZARA yanunua behewa la tani 200 kubebea mitambo bwawa la Mwalimu Nyerere isiyobebeka kwa barabara

    TAZARA imesema imenunua behewa lenye uwezo wa kubeba tani 200 litakalotumika kubeba mizigo ya bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere iliyozidi uzito au upana wake unazidi kiwango cha upana unaopaswa kusafirishwa kwa barabara. Msemaji wa TAZARA amesema behewa hilo limenunuliwa kwa dola za kimarekani...
  15. BARD AI

    Treni ya Mizigo iliyobeba Kemikali yapinduka Morogoro

    Mabehewa 22 ya Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) yamedondoka mkoani Morogoro yakiwa na kemikali tani 1,099 za Sulphur Dioxide. Wataalamu kutoka katika mamlaka mbalimbali za serikali wapo katika jitihada za kudhibiti madhara ya kemikali hizo kwa binadamu na wanyama baada ya treni hiyo...
  16. Mganguzi

    Hongera TAZARA nimeridhishwa na huduma zenu

    Ni fire ! ni mwendo wa kujimwagilia tu,k vant,john walker,konyangi kuku choma yaani ushindwe mwenyewe ,mtuwekee na warembo muongeze na spika kubwa ! mambo mengine kama uchakavu wa mabehewa na viti, uchafu hayo sisi hayatuhusu kikubwa tumefika dar tuko full data!
  17. Jamii Opportunities

    Senior Mechanical Engineer at TAZARA

    The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a Statutory Institution owned by the two Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia on a 50/50 share holding basis, with its registered head Office being in Dar es Salaam, Tanzania. The Authority has two Regional...
  18. A

    Revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia

    Former Mufulira Member of Parliament EVANS CHIBANDA says the revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia. Dr. CHIBANDA further says actualising the agreements to expand the TAZAMA Pipeline following change in objectives from transportation of...
  19. Rashda Zunde

    Faida za uboreshaji wa reli ya TAZARA

    Baada ya ziara ya Rais wa Zambia nchini Tanzania, Rais Haikinde Hichilema pamoja na Rais Samia Suluhu wamekubaliana kuboresha reli ya TAZARA yenye miaka 46 tangu kujengwa kwake. Zifuatazo ni faida za maboresho ya reli hiyo: Kupunguza gharama za kufanya biashara Kuvuta wafanyabiashara wengi...
Back
Top Bottom