BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,177
- 2,281
Kwa kweli baadhi ya vyombo vya habari Tanzania kikiwemo Star TV bado Wana changamoto ya waandishi na wasomaji wa habari.
Yani mtu anasoma habari kama anaogopa studio au kawekewa bunduki kichwani. Kituo kikubwa kama Star TV kweli wanakosa wasomaji wa habari walio mahiri.
Huyu mdada aliesoma leo habari ya saa 2 usiku huu kanishangaza sana, sijui alikuwa mgonjwa au kalazimishwa. Mtu anasoma kwa temple ya chini, hachangamki, na ni kama ana wasiwasi.
Kusoma habari wapewe watu kama akina Machugu na baadhi wanaoimudu kama yeye siyo Kila mtu.
Huyu wa leo mmmmm. Dada pole sn hata km ni uchanga hapana .
Yani mtu anasoma habari kama anaogopa studio au kawekewa bunduki kichwani. Kituo kikubwa kama Star TV kweli wanakosa wasomaji wa habari walio mahiri.
Huyu mdada aliesoma leo habari ya saa 2 usiku huu kanishangaza sana, sijui alikuwa mgonjwa au kalazimishwa. Mtu anasoma kwa temple ya chini, hachangamki, na ni kama ana wasiwasi.
Kusoma habari wapewe watu kama akina Machugu na baadhi wanaoimudu kama yeye siyo Kila mtu.
Huyu wa leo mmmmm. Dada pole sn hata km ni uchanga hapana .