In everyday use and in kinematics, the speed (commonly referred to as v) of an object is the magnitude of the change of its position; it is thus a scalar quantity. The average speed of an object in an interval of time is the distance travelled by the object divided by the duration of the interval; the instantaneous speed is the limit of the average speed as the duration of the time interval approaches zero.
Speed has the dimensions of distance divided by time. The SI unit of speed is the metre per second (m/s), but the most common unit of speed in everyday usage is the kilometre per hour (km/h) or, in the US and the UK, miles per hour (mph). For air and marine travel the knot is commonly used.
The fastest possible speed at which energy or information can travel, according to special relativity, is the speed of light in a vacuum c = 299792458 metres per second (approximately 1079000000 km/h or 671000000 mph). Matter cannot quite reach the speed of light, as this would require an infinite amount of energy. In relativity physics, the concept of rapidity replaces the classical idea of speed.
Speed - niweze kuseti speed ya juu kwa kila mtumiaji, mfano asivuke speed ya kudonload MB 1 kwa dakika
MB - iwe kama tunavyonunua mabando ya MB kwenye mitandao ya simu, ukimaliza MB connection inakata.
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.
Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Wataalam.
Ninatumia hii router ya Airtel 5G, sasa kwa hapa nyumbani nikirun test inanipa hizi download na upload speed:
Je, ni speed nzuri? Nimelipia ile ya Elfu 70. Nikirun speed uwa inakuja 10Mbps hadi 15Mbps.
Kwa YouTube 720p kwenye TV inaenda vizuri, buffering mara chache especially...
Nilipitia uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea"
Ndipo nikagundua na mimi nimefanywa dampo la wafanyabiashara kujipigia pesa kwa kuuza vitu vilivyopitwa na...
Makampuni mengi unlimited yanatoa TB 1 hasa kwenye vifurushi vya chini kwa matumizi ya nyumbani
Mtu analalamika 1 tb ndogo na tunajua kibongobongo wengi hawatumii net kufanya backups, kutumia online cctv, n.k.
wanaofanyia shughuli zao kama Video Library naweza kuwaelewa lakini hawa wengine...
Hasa kwa complex project
Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL
Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana
Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend.
Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
Ili kuondoa mianya ya rushwa, mabishano nakadhalika. Polisi Usalama Barabarani wabaki kukagua mambo mengine, zitegwe speed detectors, ukizidisha mwendo message inakuja tu kwenye simu yako unapambana na hali yako, askari wapungue road wabaki vehicle inspectors tu na wakaguzi wa makosa mengine...
Hakika! Hebu tujadili ulimwengu wa treni zenye umbo la kubana na kwa nini ni muhimu kwa kufikia kasi kubwa kama vile 200 km/saa.
## Treni Zenye Umbo la Kubana: Umuhimu wa Kasi
### 1. Umuhimu wa Aerodynamics
Treni zenye umbo la kubana, au "streamliners," zinabuniwa na umbo lenye mvuto. Hapa...
Heri ya Christmas na mwaka mpya.
Wakuu Leo nilikuwa na safari ndefu kidogo Sasa nilikuwa nilikuwa natembeza kachombo kangu kwa speed.
Baadaye nikaanza kusikia mlio mkubwa wa kugonga kwenye engine nikipita kwenye rasta kwa speed.
Kausafiri kalizima Kama mara moja kutokana na iyo hali.
Je...
Mwezi mmoja tangu Serikali iruhusu safari za mabasi kwa saa 24, tathimini ya mamlaka za usimamizi imeonyesha kuwepo ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni za usalama barabarani, hali inayohatarisha usalama kwa abiria na mali zao.
Kutokana na ukiukwaji huo, ndani ya muda huo mabasi 759 yamekamatwa...
Kumbukizi ya moja ya Games za zamani zilizochezwa sana na watoto na vijana miaka ya 2000 ni Need for speed.
Unakumbuka kuicheza?
Ulikuwa na umri gani?
ipakue hapa chini ukumbushie enzi 🙂
Dah ebhana ee!! mi nime cheza tangu 2002 hadi 2009, ilikuwa inapigwa knockout ya kufa mtu.
Nilikuwa...
Ipi Kali Sana kati ya hizi ngoma speed 120 iliyotoka 2008 au kush n haze iliyotoka 2006.
Nimekuwekea ngoma zote mbili hapo uzisikilize
Dondosha maoni hapo chini👇👇
NB:RIP kwa Albert Mangwea
RIP kwa Nipsey Hussle
Long live kwa Chid Benz
Ina maana kuwa nikienda mwezini na chombo chenye speed inayokaribia na speed of light (you can not attain the speed of light anyway), basi sitazeeka maana time itarudi nyuma! Ageing process will slow down.
sasa kwanini tusiwe na mashine yenye speed kubwa kiasi kwamba time will slow down na...
Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!
Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!
Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!
Hata...
Mota ya mashine ya alizeti inasumbua sasa nataka kuibadilisha nichukue ya mashine ambayo motor yake ina speed na mashine ya alizeti haiitaji speed.Nimeambiwa ninaweza kuitumia hiyo mota ya hiyo mashine ngingine ila nibadilisha pull itakuwa na speed ya kawaida.Swali ni je ni kweli kubadilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.