Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa kidogo tuwekana sawa.
Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed...
Kama wewe ni shabiki wa Chid Benz na umekuwa ukifuatilia mahojiano yake utagundua kuwa hayupo sawa.
Chid Benz amekuwa na Interviews nyingi ambazo zimekuwa zikitumiwa kama kichekesho kwa baadhi ya watu waliokosa uungwana.
Chid amekuwa anaulizwa maswali na anajibu tofauti hali unayofanya tuhisi...
God bless.
Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu.
Huyu ndio Chidy tulie mjua.
Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.
Simu ziite simu ziite.
# Maurine sio mtamu...
Wasalaam.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema nimeona interview ya mama yake Chid Benz na Clouds tv kwenye kipindi cha Shajara.
Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida.
Hii inaweza kupelekea Chid asipate unafuu...
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua...
Umepewa Playlist tatu hapa zina ngoma za
1. Prof. Jay, AY & Chid Benz
2. Fid Q, Mwana FA & Joh Makini
3. Ngwair, Langa & KingZillah, Utasikiliza kundi gani hapo?
Aliwahi kusema Ndugu. Haruna Rashid Juma Kahena almaaruf kama Inspekta Haroun kwenye wimbo Ngangari kwamba
" KULONDA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ambayo ni maneno ya kizaramo yanayo maanisha " KUTAKA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE"
( KIZARAMO : Kulonda = kutaka).
Hapo Inspekta alikuwa...
Sina shaka na uwezo wa Chid Benz. Kwenye Greatest rappers wangu wa muda wote anachukua namba 5.
Wengi wanasema Collabo yoyote akiwemo Chid Benz hawezi kufunikwa kamwe.(Hapa nakataa kidogo)
1. UKISIKIA PAAH YA JCB,FID,Q,JAY MOE NA CHID BENZ.
Humu Chid Benz alifunikwa vizuri tu na Juma...
Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema Rashidi Abdallah Makwiro almaarufu Chid Benzi
Ipi Kali Sana kati ya hizi ngoma speed 120 iliyotoka 2008 au kush n haze iliyotoka 2006.
Nimekuwekea ngoma zote mbili hapo uzisikilize
Dondosha maoni hapo chini👇👇
NB:RIP kwa Albert Mangwea
RIP kwa Nipsey Hussle
Long live kwa Chid Benz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.