Hasa kwa complex project
Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL
Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana
Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend.
Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
Wakuu siku kadhaa nilipost kuwa nimeanza kujifunza python. Nashukuru wadau walinipa mwongozo. Kuptia python niliweza kuweza kuelewa rahisi kidogo C++ kuliko awali nilikuwa sielewi kirahisi. Naweza kusema Python imenipa msingi. So nafanya nayo mazoezi ya hapa na pale ila nimeamua nitahamia Dart &...
GIL ilikua ina tulimit sama ku apply parallelism bila ya msaada wa third-part library.
Asubuhi hii nimekua na furaha kuskia sasa ni rasmi cpython core developers wameamua rasmi kuachana/kuwa option kutumia GIL tutegemee kwenye matoleo mapya python GIL itakua option kwa developers kutumia ldb...
Habari wakuu:
Niende moja kwa moja kwenye mada;
Kwa kufahamu kuwa kuna watu wanatamani kujifunza Programming language bahati mbaya hawana kompyuta hivyo inapelekea kukata tamaa na kuishia njiani, leo beginner mwenzio nakupa tumaini inuka uendelee.
Inawezekana ulikuwa hufahamu kuwa kuna...
Hi,
I am a beginner in Python and was facing some issues with the topic frozenset() in Python, I also referred here but couldn't get what I was looking for and am still confused with this - I have a frozenset A and list B:
>>> a=frozenset(['A','B'])
>>> b=[('A','B'),('C',)]
>>> a in b
False #...
Nahitaji kutunga uwezo wa Python ambao unachukua msururu wa kamba kama ugomvi wake. Uwezo unapaswa kuchapisha kamba hizo kwenye muhtasari ambao una kama vifungu vidogo vitu vyote vinavyozingatiwa "feline" au "canine".
Hii ndio nambari ambayo bado sina chochote kinachokuja wakati ninaendesha...
Habarini za jioni,
Naombeni msaada kidogo katika hili.
Kuna kipengele kimoja katika "Python programming language" kinaitwa "Regular Expressions".Hiki kipengele kinanichanganya kiasi katika platform ninayosomea.Nimekimaliza ila nikijipima najiona bado.
Wenzangu mliopo vizuri hii lugha nisaidieni...
Salaam,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
Hello Tech members
Moja kati ya maswali yanayojirudia rudia sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia ni "Nijifunze kipi Kati ya Language Y na Language X
Au kati ya Framework Y na Framework X?"
Kwa beginner, hii ni dilemma ambayo hana hakika njia ipi ni salama au sahihi kwake
Kwenye Web...
This Python code raises an Attribute Error: 'list' object has no attribute 'shape'.
Select it, copy and paste it here Programming and Computing with Python Right from the Forum to run and explore it. Do you have a fix for the error?
Thank you.
tf
Nimekuwa nikisika python ndio inayoongoza sasa kwa kutumiwa.
Wanaodai hivyo wanasema pia ndio programming language rahisi kuwahi kuwepo.
Kwa wadau wanaoijua na KUITUMIA naomba maoni..Frametime nimejipa miezi 3 nitumie video tutorial au nikomae na w3school au vitabu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.