python

  1. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Hasa kwa complex project Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend. Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
  2. L

    Source Code ya Python Hospital management System

    Wakuu siku kadhaa nilipost kuwa nimeanza kujifunza python. Nashukuru wadau walinipa mwongozo. Kuptia python niliweza kuweza kuelewa rahisi kidogo C++ kuliko awali nilikuwa sielewi kirahisi. Naweza kusema Python imenipa msingi. So nafanya nayo mazoezi ya hapa na pale ila nimeamua nitahamia Dart &...
  3. Cybergates

    Habari njema kwa Python developers, sasa rasmi python kuachana na GIL

    GIL ilikua ina tulimit sama ku apply parallelism bila ya msaada wa third-part library. Asubuhi hii nimekua na furaha kuskia sasa ni rasmi cpython core developers wameamua rasmi kuachana/kuwa option kutumia GIL tutegemee kwenye matoleo mapya python GIL itakua option kwa developers kutumia ldb...
  4. upworkup

    Kwa Wote mnaoanza kujifunza Programming na Hauna Computer. Replit App itakufaa Ku-edit na Ku-Run baadhi ya Script.

    Habari wakuu: Niende moja kwa moja kwenye mada; Kwa kufahamu kuwa kuna watu wanatamani kujifunza Programming language bahati mbaya hawana kompyuta hivyo inapelekea kukata tamaa na kuishia njiani, leo beginner mwenzio nakupa tumaini inuka uendelee. Inawezekana ulikuwa hufahamu kuwa kuna...
  5. SohamBhatt

    Comparing Frozenset with a list of tuples in Python

    Hi, I am a beginner in Python and was facing some issues with the topic frozenset() in Python, I also referred here but couldn't get what I was looking for and am still confused with this - I have a frozenset A and list B: >>> a=frozenset(['A','B']) >>> b=[('A','B'),('C',)] >>> a in b False #...
  6. SohamBhatt

    Kamba na nyuzi kwenye Python

    Nahitaji kutunga uwezo wa Python ambao unachukua msururu wa kamba kama ugomvi wake. Uwezo unapaswa kuchapisha kamba hizo kwenye muhtasari ambao una kama vifungu vidogo vitu vyote vinavyozingatiwa "feline" au "canine". Hii ndio nambari ambayo bado sina chochote kinachokuja wakati ninaendesha...
  7. Drone Camera

    Kwa wataalamu wa Python;

    Habarini za jioni, Naombeni msaada kidogo katika hili. Kuna kipengele kimoja katika "Python programming language" kinaitwa "Regular Expressions".Hiki kipengele kinanichanganya kiasi katika platform ninayosomea.Nimekimaliza ila nikijipima najiona bado. Wenzangu mliopo vizuri hii lugha nisaidieni...
  8. Mbomozo

    Ninahitaji nafasi ya kufanya 'Internship'. Nimesoma Bsc of science in Computer science HCIA (5G,AI,DataCom &Python) Certificate

    Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
  9. Kuchwizzy

    Python Vs PHP Ipi inanifaa ? (All beginner's questions) Episode 1

    Hello Tech members Moja kati ya maswali yanayojirudia rudia sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia ni "Nijifunze kipi Kati ya Language Y na Language X Au kati ya Framework Y na Framework X?" Kwa beginner, hii ni dilemma ambayo hana hakika njia ipi ni salama au sahihi kwake Kwenye Web...
  10. T

    Error in Python code

    This Python code raises an Attribute Error: 'list' object has no attribute 'shape'. Select it, copy and paste it here Programming and Computing with Python Right from the Forum to run and explore it. Do you have a fix for the error? Thank you. tf
  11. run CMD

    Maoni: Leo naanza kujifunza python

    Nimekuwa nikisika python ndio inayoongoza sasa kwa kutumiwa. Wanaodai hivyo wanasema pia ndio programming language rahisi kuwahi kuwepo. Kwa wadau wanaoijua na KUITUMIA naomba maoni..Frametime nimejipa miezi 3 nitumie video tutorial au nikomae na w3school au vitabu?
Back
Top Bottom