Wandugu kwema,
Naomba kujua kwa maeneo tajwa hapo juu..ni wapi naweza kupata Gym. Nimeulizia sana na kutafuta kwenye mitandao ya kijamii sijaona.
Mwenye kujua anisaidie location na ikiwezekana namba za simu.
Ni sehemu gani kwa Dar mimi ni mgeni hapa Dar nina mwezi mmoja tu ni sehemu gani sasa hapa Dar ni mzuri kufanya gym na bei cheap ila iwe classic isiwe uswahilini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Profesa Joyce Ndalichako amewagiza waajiri kuweka mifumo kwa wafanyakazi wao ya kuwewezesha kufanya mazoezi ikiwemo ‘gym’ ili kuwa na wafanyakazi wenye afya njema.
Waziri huyo amesema moja ya sababu ya kutaka gym ziwepo...
Habari wakuu?
Msaada wenu, kwa wale mnaobeba vyuma/gym, je! Nikweli inamaliza nguvu za kiume? Ama kuleta madhara yoyote sehemu husika?? Natumaini mtanipa jibu zuri wakuu, mubarikiwe sana.
Weekend njema bandugu!
Kwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
"Wanaume wenye kupenda kufanya tu Mazoezi ya Kutembea Umbali mrefu au Kukimbia umbali wa Kiasi ndiyo Wanaoongoza kwa Kuwaridhisha zaidi Wapenzi wao Vitandani tofauti na wale wapenda kwenda na Kukesha gym", alisema Mwanasaikolojia.
Siku zote Mightier nimekuwa nikiwapinga mno hawa Wanasaikolojia...
Meya wa Jijini New York, Bill de Blasio ametangaza zuio la kuingia sehemu za mazoezi na migahawa.
Amesema wasiochanjwa hawataweza kushiriki katika shughuli nyingi.
Sera hii itaanza kufanya kazi wiki chache zijazo.
======
New York(CNN)New York City will require proof of vaccination to enter...
It is important to keep fit especially at this time of the pandemic. The stress levels are high and many people are on the brink of depression. The pandemic has worsened the financial resources of many people.
The biggest mistake people make is to dwell on their problems instead of trying to...
The Swedish government on Monday moved to cut the size of public gatherings sharply as it sought to come to grips with a second wave of the pandemic that has seen record daily numbers of new cases and growing pressure on hospitals.
Swedes are not sticking to coronavirus recommendations as well...
Mzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs...
Sisemi ni wote ila wanawake wengi wakiwa wanakwenda gym ataishia kupata mchepuko au hata wale instructors watakula mzigo. Mimi ninayo experience hivyo siyo wadada mje hapa useme siyo wote mi nishasema siyo wote. Nataka ku prove my experince kwa mtu ambae amesha experience.
Tangu nilipogundua umuhimu wa mazoezi kwenye mwendo wa kawaida wa maisha, nimejaribu hili na lile, kuona linalonifaa zaidi. Katika jaribujaribu mara kwa mara nimeongeza vikolezo mbalimbali kwenye mazoezi yangu na kuyaboresha kidogo. Nimeongeza vikolezo hivyo kwa malengo ambayo binafsi nayaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.