Tiles are thin objects, usually square or rectangular in shape. A tile is a manufactured piece of hard-wearing material such as ceramic, stone, metal, baked clay, or even glass, generally used for covering roofs, floors, walls, or other objects such as tabletops. Alternatively, tile can sometimes refer to similar units made from lightweight materials such as perlite, wood, and mineral wool, typically used for wall and ceiling applications. In another sense, a tile is a construction tile or similar object, such as rectangular counters used in playing games (see tile-based game). The word is derived from the French word tuile, which is, in turn, from the Latin word tegula, meaning a roof tile composed of fired clay.
Tiles are often used to form wall and floor coverings, and can range from simple square tiles to complex or mosaics. Tiles are most often made of ceramic, typically glazed for internal uses and unglazed for roofing, but other materials are also commonly used, such as glass, cork, concrete and other composite materials, and stone. Tiling stone is typically marble, onyx, granite or slate. Thinner tiles can be used on walls than on floors, which require more durable surfaces that will resist impacts.
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi...
Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30
Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi.
50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60
Za 40*40 hizi box moja...
Habari wakuu! Nimerudi tena baada ya kujikusanya na kujipanga sana. Nimefika hatua ya kuweka vigae (tiles). Sasa kuna jambo ambalo nimejaribu kupitia post mbalimbali na kugundua kwamba vigae pia vina daraja (grades) tofauti, yaani A, B, C.
Kutokana na bajeti yangu, sioni uwezekano wa kutumia...
Wanahitajika vijana 2 wa mauzo ya tiles.
Watakuwa na majukumu ya kwenda kutafuta order sites mbali mbali zinazojengwa. Eneo la ofisi ni Madale na kuna posho kwa mwezi, nauli na commission kulingana na mzigo ulivyouza.
Pia nakaribisha wale wote wenye uhitaji wa tiles kwa bei poaa na offer kibao...
Hawa jamaa walitangaza nafasi ya business Specialist kwenye kiwanda Chao kilichopo mkuranga. Nilifanikiwa kuitwa interview Leo ila ikatumwa sms kuwa zoezi limehairishwa mpaka watakapo toa taarifa tena...Kuna yoyote amekutana na jambo kama hili?
Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.. Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania?
Nahitaji zile bora hata za China na India. Kibanda changu kimefikia hatua ya kuweka tiles; nimepambana kwa 5yrs na imefikia hapa. Sijaingia bado ila umeme nishaweka, bado...
Wanabodi salama?
Nafikiria kuingia kwenye biashara ya tiles (ceramic na porcelain) importing kutoka nje ya nchi.
Nna uelewa kidogo wa hizi products kupitia kwa mafundi wa tiles na kudeal na suppliers pale kariakoo.
Naweza kuanzisha hapa hapa Dar au Dodoma.
Ingawa wauzaji wapo wengi ila...
Mwenye idea kuhusu "mkeka wa mbao" au "Floor decor" __ nimekuwa nikiona katika movies za nje (Ufilipino) na kwenye matangazo vifaa vya ujenzi hasa kenya.
Uzuri? wake na Ubaya? wake__ nimekuwa nikiona matangazo wakisema warranty miaka 25!
Vipi ubora wake unaweza kupiku tiles (vigae)?
Nawasilisha!
Je unatafuta Fundi tiles (Fundi Vigae) (Fundi ceramics)?
Kwa design nzuri na ubora wa nymba yako, tonaoatikana Dodoma.
Tuna uzoefu wa miaka zaidi ya kumi
Tunakufanyia free consultation na gharama za kazi yote pamoja na vipimo
Piga Namba 0757915043
Habari wakuu?
Kwa mahitaji ya kujengewa tiles, Tarazo, Mable, Mosaic, Palving blocks au tangastone karibu ujenge nasi kwa gharama nafuu lakini kwa ubunifu, uaminifu wa mali zako na kwa mitindo mbali mbali ya kisasa kabisa.
Kwa mawasiliano waweza tufikia kwa simu no 0782369491 au what's App...
Habari wakuu, kwa mwenye mahitaji ya kujengewa tiles, tarazo, mosaic, mable, tangastone na palving stones kwa mitindo wa kisasa na gharama rafiki na hata kwa malipo ya awamu kama huna cash, wasiliana nasi kwa mawasiliano yafuatayo;
- 0782369491 na
-0654121218 na wasap kwa picha zaidi.
au barua...
Tiles za mawe za kuuza. Bidhaa zetu zote ni zinazozalishwa katika Arusha. Tunakomboa nchi kote.
Bei Huaanza kutoka 30,000 tzs kwa m2 hadi 50,000 tzs kwa m2 kwajili ya wall cladding tiles.
Paving blocks, sandstone slabs na European cobblestone bei huuanza 28,000tzs kwa m2 hadi 45,000 kwa m2...
Salaam wadau wa ujenzi,
Naomba kufahamu maduka ya Spanish tiles kwa hapa Dsm.
Of course najua lililopo Victoria,
Lakini ngependa kujua zaidi ili niwwze kufanya ulinganifu wa Bei,na aina tofauti tofauti ili niweze kuchagua.
Pia kama Kuna mtu anafahamu zaidi kuhusu aina nyingine na ubora za tiles...
Habari zenu jamani,
Napenda kujua gharama za kupiga tiles,Nyumba ipo katika mazingira ya uswahilini. Je, gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani chumba kina square mita 9
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.