goba

Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Plot4Sale Viwanja bado vipo Goba

    Karibuni GOBA Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki 1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm 350 2 hiki Ni Ml 10 ukubwa Ni sqm 600 3 Ni sqm 890 Bei ML 25 Kwa picha zaidi na maelezo pia...
  2. Z

    House4Sale Nyumba inauzwa Goba

    Ipo goba mpakani, vyumba vitatu kimoja master. Ukubwa wa eneo square meter 500 Milioni 65 0762689034
  3. J

    Plot4Sale Anaeijua GOBA atanielewa -kiwanja kinauzwa goba center Ml 6.8

    Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya Goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18 Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia. 0715053339/0719236829
  4. J

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Goba

    1 .kiwanja kipo goba mbezi (kulangwa) ukubwa sqm 400 (hakipo mbali na barabara kuu ya lami) milion 17 maongezi yapo ni flat 2 kiwanja kipo goba (umbali na barabara ya lami ni Dak 10 /15 ukubwa sqm 1000 Bei ML 57 maongezi yapo wakuu 3. Nyumba ya vyumba 6 ipi Mbezi beach goigi kutokea bagamoyo...
  5. J

    Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  6. Nakadori

    Nyumba inahitajika barabara ya Goba hadi Mbezi Magufuli

    Habari zenu Najua hapa jf Pana wengi ikiwemo wenye nyumba na wenye taarifa kuhusu nyumba. Inatafutwa nyumba ya Vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo. Mitaa iwe ya barabara ya mbezi magufuli kuelekea Goba hadi Goba penyewe. Pesa iliyopo 250000 kwa mwezi. Malipo hata yakiwa ya miezi...
  7. K

    Plot4Sale Viwanja DSM na Pwani

    VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu. Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya Tsh 1050 kwa sqm 1 Kama utalipa Cash na Tsh 1,250 kwa sqm 1 kwa mkopo ambapo utalipia 40% na...
  8. Pascal Mayalla

    Ajali Mbaya Goba Rd Masana, Magari (4) na Bodaboda Yagongana USO Kwa Uso!. Congestion ya Balaa!. Thanks God No Casualty, No Fatality!

    Wanabodi Kumetokea ajali mbaya ya magari manne na boda boda, yamegongana huku mimi nikishuhudia huku nikiwa viti virefu hapa sebuleni kwangu Highland, mkabala na Masana Hospital. Sijaweza kujua chanzo, ila gari moja ilikuwa inatokea Goba, Kwa spidi kali, mara uso kwa uso na Bodaboda...
  9. dalalimhenga

    House4Rent Nyumba/apartment inapangishwa Goba

    Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule, Choo cha public ndani Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 250,000 Mahali goba, kwa awadhi Umeme Submita yake, maji Dawasa, fensi geti, parking ipo. Maelezo zaidi - 0742141467
  10. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Goba Centre

    Ukubwa wa kiwanja 800sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 45milioni More information- 0742141467
  11. dalalimhenga

    House4Rent Inapangishwa nyumba Goba inayopakana na mbezibeach

    Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 230,000 Mahali Goba ya Karibu Na Mbezibeach Mawasiliano 074214146
  12. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati Goba KINAUZWA

    Ukubwa wa kiwanja - 800 sqm. Kina hati safi. Eneo Goba centre, Karibu na Barbara ya lami. Bei ni 45Milioni Contact 0742141467
  13. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati kinauzwa Goba

    Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm. Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami. Vimepimwa na kina hati. Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni ) Wasiliana nasi - 0742141467
  14. Mtego wa Noti

    Plot4Sale Kiwanja kiko Goba Sqm 940 kwa 18 milion

    Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox tuyajenge moja kwa moja upate kiwanja kwa bei nafuu. Karibu sana
  15. luangalila

    Mturuki anaye fanya PVC windows installation pale Goba

    Wadau Hawa waturuki waliopo mbezi Goba Wana sikika Sanaa Je huduma zao NI kweli nzuri Kwa yeyote aliyewahi kupata huduma zao
  16. Kamanda Asiyechoka

    John Mnyika: Salamu za pole kwa wakazi wa Goba, waliozembea wachukuliwe hatua

    Natoa pole kwa wafiwa na wananchi wa kata ya #Goba kufuatia vifo vya watu wanne vilivyosababishwa na kuanguka kwa ghorofa lililokuwa linaendelea kujengwa katika kata hiyo. Uchunguzi wa tukio hili zisiachiwe mamlaka za #WilayaYaUbungo bali uhusishe CRB, ERB, IET, AQRB na TISS.
  17. beth

    Goba, Dar: Wanne wafariki dunia, 17 wajeruhiwa baada ya jengo kuangukia nyumba za jirani

    Watu wanne (Wanawake 2 na Wanaume 2) wameripotiwa kufariki dunia huku wengine 17 wakijeruhiwa baada ya jengo lililokuwa linajengwa eneo la Goba kwa Awadhi Jijini Dar es Salaam kuangukia nyumba za jirani Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kheri James amesema wanaendelea kuangalia iwapo kuna wengine...
  18. maroon7

    Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

    Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu...
Back
Top Bottom