Msaada wakuu application nzuri ambayo naweza kutumia kudesign vitu kama mabango nje ya adobe. Simple app ambayo haina complication kama adobe photoshop.
Kwa wale wanaojua mpira mtanielewa.
siunajua ukishinda magoli matatu katika football unapewa mpira wa bure unaondoka nao.... sasa jamaa kaenda gest na demu wake kamgonga goli tatu alipomaliza akafurahi akaenda reception akaomba condom ya bure na yeye aondoke nayo
Watu bwanaaa...
La kwanza nililojiuliza jana je hawa TBC wafanyakazi wake si waandishi wa habari?? taarifa ya habari ya jana imenipa jibu kwamba kile ni chombo cha ccm na si cha waandishi wa habari na pia ata wafanyakazi wake nna wasiwasi nao na sina imani nao.Ukiangalia vyombo vyote vya habari jana walitumia...
jamaa wawili wabishi walikua wakibishana,walibishana karibia siku nzima hawafikii muafaka mwishowe mmoja wao akaona isiwe tabu akakubali kushindwa akamwambia mwenzake basi umeshinda,yule jamaa bado akabisha kwa kukataa ushindi anadai hajashinda...mbishi zaidi ya mbishi.
Ingekua uwezo wangu ningemshauri jamaa agombee ubunge jimboni kwao uko mbeya maana kashajizolea umaarufu wa kutosha.. then anafaa sana kuleta mabadiliko nchini na mfano tumeuona..
Sijui wewe unaonaje..
Dogo anaulizwa na mwalim wake
Mwalimu: Leo tarehe ngapi
Dogo: Tarehe Saba
Mwalimu: Mwezi gani??
Dogo: Mwezi mtukufu wa ramadhani
Mwalim: Pumbaaafuuuuu..
Viongoziwa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Jumuiya ya Madaktari na Madaktari waliofukuzwa kazi na wengine kusitishiwa usajili wa leseni zao za muda walikutana jijini Dar es Salaam jana na kupitisha azimio la kuishtaki Serikali na Baraza la Madaktari mahakamani.
Umuzi huo ni matokeo ya...
Van Persie departure hint: Gunners release squad numbers - but no shirt for Podolski
Arsenal have announced their squad numbers for the 2012-13 season and although Robin van Persie has retained his No.10 shirt, new signing Lukas Podolski has yet to receive a number.
1 Wojciech Szczesny, 2 Abou...
Jana nilisikiliza taarifa ya habari nikashangaa sana kusikia kumbe ile meli iliyozama haina ata ofisi na ata mda wake wa kufanya kazi ulikua umekwisha yaani imesha expire..
Sasa niwaulize sumatra hii sindio kazi yao kujua vyote hivi ama kazi yao ni kukaa barabarani na kukamata magari na kula...
Katika wabunge wachovu nafikili wabunge wa Tz ni wachovu sana, kwanza wana mikwara mingi kuliko vitendo
kinachoniudhi mimi sasa, wanajua kusimama na kukalipia sana na kujifanya wanatetea maslahi ya wananchi, badae utasikia Tunaunga mkono kwa asilimia mia (100%)
sa sijui niwaiteje machizi au...
Akizungumza katika mikutano ya hadhara katika kata za Chienjele na Likunja katika Wilaya ya Ruangwa, Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema alisema ni aibu kwa Serikali kukimbiza Mwenge kwa gharama ya Sh bilioni moja na kwenda kufungua zahanati ya kijiji isiyozidi Sh10 milioni.
Alisema...
Jamaa: Ndabi naomba unisaidie angalau elfu tano nina shida sana familia yangu haijala toka jana
Ndabi: Aisee unanishangaza sana mke wako anaonekana ana roho mbaya sana
Jamaa: kwanini??
Ndabi: Jana tu nimetoka kumuhonga elfu hamsini ameshindwa kukupa ata elfu tano
Jamaa: unasema nini (ngumi)
nilikua na dogo langu moja sasa tukiudhiana tunapeana malani, sasa malani yake yalikua yanachekesha sana maana hayanilengi muhusika. labda mi ntaanza kumwambia kichwa kama sufuria
yake yeye sasa eti .. kaptula kama shati... lione lione kwanza jicho kama mkono... lione lione baiskeli kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.