Hivi huyu jamaa ujana wake alikuaje.
Signature yako tells a lot about you na ukilaza wako.Slaa alipoacha kanisa akufuata totoz hamkusema Rais wetu anajipongeza imekuwa taabu mnadhani Rais malaika hana matamanio au... muacheni akonge moyo kwa kazi kubwa ya kuongoza vichwa ngumu kama nyinyi
Signature yako tells a lot about you na ukilaza wako.
Watanzania wengi walichagua chama na si JK!
Nasikia alispend zaidi ya 4hrs anazunguka kwenye mabanda!
Nadhani ofisini atakuwa anakaa kukiwa na ugeni tuu!
Hapo umemaliza ubishi mkuu, bora uwape somo hawa wavivu wa kufikiri.Tatizo lenu watanganyika mmesoma lakini hamkujua milipeleka wenzenu to shule ndio maana sisi millioni moja tunawapa changamoto nyie mijitu millioni 40 vichwa ngumu mnaonea fahari kuabudu mafuvu.
Silioni tatizo la JK au mmesahau mlipokuwa mkipanga foleni RTC kugombea sukari. na sasa kila kitu nje nje pesa yako tu, tatizo jengine watanganyika wavivu mnataka raha kimiujiza mkikosa mnatoa visingizio ooh JK dhaifu unataka akuletee maandazi kitandani? jitume kukabili changamoto zako.