KML
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 861
- 133
La kwanza nililojiuliza jana je hawa TBC wafanyakazi wake si waandishi wa habari?? taarifa ya habari ya jana imenipa jibu kwamba kile ni chombo cha ccm na si cha waandishi wa habari na pia ata wafanyakazi wake nna wasiwasi nao na sina imani nao.Ukiangalia vyombo vyote vya habari jana walitumia zaidi ya dk 15 katika habari ya maandamano ya waandishi wa habari isipokua hawa TBC walitumia dk1 na nusu katika habari iyo,vyombo vyote vilionyesha jinsi nchimbi alivyotimuliwa lakini wao walituonyesha jinsi alivyohutubia na kuifanya ile habari kama ni kitu flani cha kawaida sana yaani hakina mana as if wao si waandishi wa habari, yaani utumwa ni mmbaya sana.
hivi hawajui kesho keshokutwa yaweza mtokea yeyote pale kwao,mi nawaomba waandishi wa habari waandae maandamano mengine katika kukichunguza iki chombo cha watanzania ambacho kimegeuzwa chombo cha CCm kwa maslahi yao.
hivi hawajui kesho keshokutwa yaweza mtokea yeyote pale kwao,mi nawaomba waandishi wa habari waandae maandamano mengine katika kukichunguza iki chombo cha watanzania ambacho kimegeuzwa chombo cha CCm kwa maslahi yao.