Wakuu nimeikuta hii katika moja ya mtandao wa kijamii
" MAAJABU MENGINE YA NAIBU WAZIRI WA
ELIMU,MH MULUGO
Akiwa katika ziara ya kutembelea chuo cha ualimu
Tukuyu. Wakufunzi walimuuliza swali kwanini
hawapandishwi madaraja kwa muda mrefu.
Mmoja wa wakufunzi alilalamika toka aajiriwe...
Eti wakuu OS gani niweke kwenye ka pc kangu? Matumizi yangu ni ya kawaida tu kama vile kuchapa assignments zangu, kudownload vitabu(software), muziki, videos n.k. UBUNTU sijawahi kuitumia so naomba ushauri wenu wakuu.
Simu yangu aina ya Samsung galaxy W i8150 imeformat pics zote na songs na baadhi ya files. Please naomba mwenye kunisaidia kufanya backup au ndo imeshatoka tayari?
Habarini wakuu, nadhani title imejieleza vya kutosha so kama vipi ni PM tuchonge vizuri.
Logo title iwe Elimu Yetu Tanzania so we ni PM tulonge vizuri.
Habari ndugu wa hili jukwaa . Tafadhalini tunawakaribisha katika ukurasa wa Elimu Yetu Tanzamia ili kupata michango yenu yenye kujenga na kuona ni jinsi gani tunaweza kufanya sekta yetu ya elimu inakuwa. Tunafahamu kuwepo kwa mashirika mengi tu yanayohusika na masuala ya elimu hapa nchni kama...
Jamani hii mashine imegoma kutype kabisa yani keyboard haisupport kabisa na pia kasa haifanyi kazi mpaka nitumie external mouse. Tafadhali jamani naombeni msaada wenu
Jamani hili ni tatizo wale wa SAUT MWANZA waliopo field hawajapewa hela zao mpaka leo na next week field inaisha, sasa wanadhani watu wanaishije huko mikoani. Tanzania haitaendelea kamwe kwa mtindo huu I swear.
Eti jamani huu ni ugonjwa au ni nini mana sijawahi penda mwanamke, hua nasikia tu mapenzi yanaumiza bt me sijui hiyo kitu ipo vipi. Me ni single boy ukinipenda namaliza.leoleo túu. Je nitaweza badilika jamani mana umri wa kuoa umefika?
Habari wana JamiiForums
Tafadhari mwenye uelewa juu ya kufungua organization ambayo inakua kama charity plz naomba msaada, maana mimi na wenzangu wa hapa TZ na UK tunataka fanya hichi kitu plz wadau naomba ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.