Wa Bagamoyo Senior Member Apr 2, 2012 118 12 Aug 5, 2012 #1 jamani jinsi ya kuunganisha net kwa hii simu samsung gt18150 natumia tigo. plz
mysteryman JF-Expert Member Aug 4, 2011 977 176 Aug 5, 2012 #2 niliwahi kusikia tangazo lao wakisema ukijiunga na kifurushi mfano cha siku utakua umeshajiunga na net ktk simu yako....
niliwahi kusikia tangazo lao wakisema ukijiunga na kifurushi mfano cha siku utakua umeshajiunga na net ktk simu yako....
Wa Bagamoyo Senior Member Apr 2, 2012 118 12 Aug 5, 2012 Thread starter #3 nimejiunga tayari lakini hamna kitu
danizzo JF-Expert Member Mar 19, 2011 278 38 Aug 5, 2012 #4 Tafuta intenet profile kama ukiiona tujulishe 2kupe maujanja