Search results

  1. Titicomb

    Wazee wa Kataa ndoa na kitabu cha The Manipulated Manby Esther Vilar (1971) wamenifikirisha Sana

    Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho ' The Manipulated Man by Esther Vilar (1971)' Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi anasema mwanaume anazaliwa na kufundishwa au kufunzwa kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote...
  2. Titicomb

    Pacome na goal of the week, kule jezi ya Yanga kwenye wimbo wa AFCON 2023

    Sasa ni rasmi goli la Pacome Zouzoua dhidi ya Al Ahly limechaguliwa kuwa goli bora la Juma (week) la Total Energies CAF Champions League. Sasa nimeelewa kwanini jezi ya Yanga imetumika kwenye video ya wimbo rasmi wa AFCON 2023 badala ya jezi za Taifa Stars. Yanga imekuwa maarufu Sana viunga...
  3. Titicomb

    Siku TEC ikitoa waraka kupinga uchaguzi uliochezewa matokeo CCM itaondoka madarakani

    Salam Wana JF, Nasema hivi siku ambayo Baraza la maaskofu wa kanisa katoliki likitoa tamko au waraka kuhusu kuvurundwa kwa uchaguzi mkuu CCM itaondoka madarakani asubuhi mapemaa. Hii taasisi ina nguvu sana nchi nyingi duniani ambako ukristo wa dhehebu la ukatoliki upo. Hii taasisi imesababisha...
  4. Titicomb

    Prof. Mbarawa umejiandaa baada ya uwaziri kuisha? Wenzio wawili wana kinga ya kutoshitakiwa

    Nakukumbusha kaka yangu, mtanzania mwenzangu Bwana Makame Mbarawa kuna mawaziri wa zamani Bw. Yona na Bw. Mramba waliishia jela kisha wakaenda kufagia vyoo hospital za umma baada ya uwaziri wao. Hili sakata la uwekezaji wa bandari za Tanganyika unaweza kuja kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya...
  5. Titicomb

    Mmoja tu afaulu mtihani wa uwakala wa wachezaji wa FIFA, ni nani huyu?

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza au kuuliza, naomba mwenye taarifa atujuze ni wakala gani pekee alifaulu mtihani wa FIFA wa uwakala wa wachezaji? Je, watanzania ni vilaza kiasi hiki? Nimetoa taarifa hizi toka kwa Angitile Osiah kama alivyo eleza katika moja ya makala yake kwenye gazeti la...
  6. Titicomb

    Pele aingia katika kamusi kama kitu au mtu asiye mfano kwa ubora wake.

    Neno Pele limeingizwa katika kamusi ya Michaelis ya kireno. Neno hilo limetafsiriwa kama ifuatavyo: "Kitu au mtu ambaye siyo wa kawaida, kitu au mtu ambaye kwa mujibu wa ubora, thamani au ubora wake hawezi kuwa sawa na kitu chochote au mtu yeyote, kama Pele, jina la utani la Edson Arantes do...
  7. Titicomb

    Russia kupeleka mbolea bure nchini Kenya

    Wakati MK254 akimtukana na kumshambulia Rais Putin kila siku, yeye aamua kumjibu kwa vitendo kwa kupeleka mbolea bila malipo nchini Kenya na gharama za usafiri italipia Russia yenyewe ili kuwakomboa na njaa wakenya wanaoteseka na njaa kali. Nasema hivi UUNGWANA NI VITENDO. Russia to deliver...
  8. Titicomb

    TRA kwanini kodi (ushuru) hutozwa kodi tena kwa jina lingine? Wabunge mko wapi?

    Nimejaribu kuisoma kanuni iliyotolewa na TRA ya kukokotoa kodi inayolipiwa bidhaa zinaoingizwa toka nchi za nje nimepata maswali mengi sana. Mojawapo ya maswali ni kwanini Ushuru wa Forodha unatozwa Ushuru wa Bidhaa pia unatozwa Ushuru wa Ongezeko la Thamani (VAT)? Kwanini Ushuru wa Bidhaa...
  9. Titicomb

    Nini kinafuata baada ya shule ya msingi kufutiwa matokeo, hatima ya wanafunzi inakuaje?

    Shule ya msingi ikifutiwa matokeo au ikishikiliwa (withheld) matokeo kwa kosa la uongozi wa shule kufanya udanganyifu nini kinafuata ili watoto waweze kuchaguliwa kuendelea elimu ya upili( secondary)? ~ Watarudia mitihani? ~ Watapewa muda gani kujiandaa na mitihani? ~ Kuchaguliwa shule za...
  10. Titicomb

    Rais Samia, mbolea ya ruzuku ikichelewa wakulima wa kutotegemea mvua tutapata hasara kubwa

    Ombi kwa mheshimiwa Raisi Mama Samia. Mpango wa mbolea ya ruzuku ni mzuri sana na wenye tija kama utatekelezwa kwa wakati. Serikali yako imesikiliza kilio cha wakulima cha muda mrefu. Hongera sana. Pongezi pia ziwafikie washauri wako na wazira ya kilimo kwa ujumla. Mpango huu umeanza kuwa...
  11. Titicomb

    Kura ya maoni kujiunga Urusi, tangazo la kuongeza askari wa akiba: Maneno ya Putin yanatimia kuhusu malengo ya uvamizi wa Ukraine?

    Habari wana JF, Siku nyingi zimepita sijaandika mjadala(thread) humu jukwaani. Leo nimesukumwa kuandika mtazamo wangu juu ya kinachoendelea nchini Ukraine wakati huu wa vita dhidi ya uvamizi wa Urusi(Russia). Raisi Vladimir Putin mara kwa mara amekuwa akirudia kusema malengo yote ya nchi yake...
  12. Titicomb

    Wabunifu wa mitaa na barabara zetu kwenye majiji mnaziwazia boulevards za kisasa?

    Mimi siyo mtembezi Sana kwenye majiji na miji yetu ya Tanzania. Katika utembeaji wangu sehemu chache nilizotembelea sijaona mitaa yenye barabara pana kwenye mitaa ambazo zimepambwa na majengo mazuri na safu za miti mizuri pembezoni au kati kati ya barabara kwa mtindo ule unaoitwa boulevard kama...
  13. Titicomb

    Naomba ufafanuzi juu ya kauli ya DC Sabaya "DESI ilivyofumuliwa na Rais Magufuli"

    Wakuu habari? Kwanza nimpongeze sana DC Sabaya jinsi alivyo weka juhudi kuwasaidia watu waliolalamika kulaghaiwa na kampuni ya Q-Net wilayani kwake. Katika mazungumzo yake na waalimu akawauliza "bado tu hamjajifunza jinsi taasisi ya DESI ilivyofumuliwa na Rais Magufuli?" Chanzo: Youtube...
  14. Titicomb

    Uchaguzi 2020 Kuamini kwamba Lissu alisafiri angani kutumia helikopta bila kibali cha TCAA ni kujidanganya sana!

    Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi. Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe. Inajulikana hakuna mahali duniani...
  15. Titicomb

    Uchaguzi 2020 Mapingamizi ya wana ACT-Ubungo dhidi ya Boniface Jacob ni zao la 'Witch-Hunting' ndani ya CHADEMA-Ubungo

    Ndugu Boniface Jacob usishangae sana, wala usione kama usaliti kuhusu pingamizi za wana ACT dhidi yako na wagombea nafasi zingine wa CHADEMA ndani ya Jimbo la Ubungo. Zitto analaumiwa bure tu kwa zimwi mlilolitengeneza wenyewe CHADEMA. Sishangai hii tabia ya waafrika wengi kukimbilia kulaumu...
  16. Titicomb

    Uchaguzi 2020 Serikali Amkeni: Taarifa lukuki za kutekwa wagombea wa chama kimoja tu cha siasa zisizo na uthibitisho ni hatari kwa usalama wa taifa

    Kuna taarifa mpya ya kutekwa mgombea wa CHADEMA kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE kila baada ya dakika chache ndani ya siku 5 za mwisho kuelekea siku ya leo tarehe 25/08/2020 ya kupitishwa majina ya wagombea na NEC. Nyingi ya hizi taarifa hazina uthibitisho kiasi kwamba zinaleta hofu kuna watu...
  17. Titicomb

    UHAKIKI VYETI: Tanzania tunaendeleza baadhi ya itifaki na michakato iliyopitwa na wakati tunapoteza muda bila sababu

    Kuna baadhi ya michakato (processes) na itifaki (protocols) ambazo tulirithi toka kwa wakoloni na awamu zilizopita ilikuwa muhimu wakati ule sababu office automation haikuwepo. Kwa sasa hali ni tofauti baada ya maendeleo makubwa ya teknolojia ya mawasiliano. Kuwadai watu wanao omba kazi au...
  18. Titicomb

    Kitaalamu Nyongo ya Mamba [crocodile bile] siyo sumu, wachina hutumia kama vumbi la Congo kwenye ngono

    Kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 1984 wa Prof. Norman Nyazema mbobezi wa Pharmacology wa huko Zimbabwe anasema nyongo ya mamba siyo sumu na taarifa zinaonesha ikikaushwa na kusagwa inauzwa nchi za Asia kama uchina kwa matumizi ya kuhamasisha tendo la ngono ( aphrodisiac ) kama lile vumbi la...
  19. Titicomb

    Kipigo alichopewa Aikande Clement Kwayu toka kwa watanzania sababu ya utafiti wake bandia hatakisahau

    Aliandika maoni yake akayaita utafiti akarusha mitandaoni na watanzania wakamjibu vizuri sana nahisi sasa atajua watanzania wa sasa si wale aliowaacha alipoenda ughaibuni. Kichwa cha habari na mambo aliyoyapa kipaumbele zaidi ya 85% kwenye andiko lake hayahusiani na kichwa cha habari yake...
  20. Titicomb

    Wazungu: "Samatta si mchezaji wa EPL", wamfananisha na panya

    Baadhi ya shabiki wa 'kilabu' ya mpira wa miguu ya Aston Villa wameshikwa na hasira baada ya kupata habari kuna uwezekano wa mshambuliaji wa timu yao Mbwana Samatta kwenda kujiunga na timu ya Galatasaray ya Uturuki mwishoni mwa msimu 2019/2020. Walirusha ujumbe wa kejeli na dharau kwenye kurasa...
Back
Top Bottom