ndugu wadau,naomba ushauri wenu
mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu nimejibana pesa ya mkopo na kufanikiwa kupata kiasi cha Tsh 500,000
lengo kubwa katika maisha yangu ni kujiajiri,,sitaki baada ya kumaliza chuo ninuse hata ofisi ya mtu bali niende uraiani kuendeleza miradi yangu niliyoianzisha...
Nilikuwa nipo maeneo fulani hivi tukiwa na baadhi ya watu wazima ambao pengine naweza kusema wameona mengi hapa Tanzania.
-mzee mmoja akauliza nasikia wanasema udsm kimekuwa chuo cha nne africa?,,alafu akauliza kwa ubora au kwa ujinga akajibiwa kwa ubora.
akacheka sana kisha akasema watanzania...
kwa kuwa mimi ni mdau wa hapa jamiiforuns na pia ni mwanafunzi wa chuo hiki cha st joseph,,
tume ya vyuo vikuu tanzania(TCU) na chuo hiki....wamekubaliana wanafunzi wa form four wanaweza kusoma fani ya elimu(education) kwa ngazi ya shahada(degree),,,lakini ni miaka mitano(5 years),,,
sifa za...
heshima kwenu wakuu
binafsi nimejaribu kuliangalia hili suala la gesi huko mtwara na nikagundua serikali pengine(sijathibitisha) imesha saini mikataba migumu ambayo inaiweka pabaya na kushindwa kuwasikiliza ndugu zetu hawa wa Mtwara.......KWA SABABU
1.Je kama msambazaji wa gesi akiwa ni mkoa wa...
waheshimiwa natafuta field kwa mwakani mwez wa pili nachukuwa Civil engineering;;hivyo hata kama huna uzoefu wowote naomba unitajie kampuni yoyote inayohusika na maswala hayo utakuwa umenisaidia sana -nitapendelea zaidi ikiwa site field
MUNGU AWABARIKI
wadau huwa napenda kutumia alozera lakini kutokana na muda wangu kuwa mdogo huwa natengeneza nyingi ambayo huweza kukaa hata siku 5 na siweki kwenye friji nje ya kuwa inaweza kulewesha je kuna madhara naweza kupata kutokana na utunzaji huo? naomba msaada wadau
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU NA...
Jamani ninachukua degree ya engineer bahati mbaya mwaka 2011/2012 nilikosa mkopo nilijitutumua mpaka nikasoma hivohivo(nina deni chuoni) lakini niliapply tena je utaratibu ukoje kwa sisi tunaoendelea na ,masomo vyuoni,,yaani kuhusu mikopo au ndo baso tena
natatanguliza shukurani zangu
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI...
Kwanza poleni na msiba wa mtanzania mwenze2 Sumari.jamani m2 kama faiza foxy ,ritz na wengne walioajiliwa na ccm kuja kuichafua cdm humu xasa lazma watambue kuwa haisaidii kwan hata ccm wanafahamu uozo mzima walioufanya na ndo mana hata wanapopatwa na pigo kama kufiwa hukosa raha kwa sasa ccm...
Ndugu wanajf,msishangae kuona nmeandika kwenye jukwa la siasa,mim namin kwenye huzuni n lazima siasa na vingnevo 2vweje pemben,muigzaj wa kaole sana group anazikwa sasa kigogo-DAR ES SALAAM
Nmekaa nkatafakari sana nkagundua Tanzania haina sifa ya kuitwa nchi,kwa sababu
1)tanzania haiongoz kitaaluma inaongozwa kisiasa
2)Viongoz wake hawana sifa ya kuwa kiongoz mf,KIKWETE alikuwa na sifa gan za kuwa kiongoz,hata taaluma yake haieleki vizuri
3)Tanzania inapelekeshwa na vijitu...
Jaman mi naona wakati umefka,mkandala na wenzake wamefukuza wanafunzi ili kuwatisha wanafunzi wengine,MI NINA WAZO
Jaman huyo mkandala si kila siku anapita mnamuona au?dawa yake huyo apigwe mawe mpaka kufa,ili na sisi 2watishe hao viongoz.maana wanataka ku2geuza cc mapumguami
MKANDALA APIGWE...
Mim n mwanafunz wa chuo cha ST JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY,napenda kuwataarifu wote wenye matatizo katika masomo ya (math&physcs),lakini awe anaish mbez ya kimara muda ni saa 12-2ucku,pia kama **** shule inahtaji mwalmu wa kufundsha prepo,nafundisha...
Jaman hv nan anawajua hawa wa2,wanasema wanadhamn wanafunz wa vyuo vkuu,m n m1 wapo ambae nliaply na walnjb omb langu lmekubarka,na kunahd kuningza mahtaj yangu kwenye a/c,lkn n miez ming imepita bla kufanya walchonaid,je kuna m2 mwenye kuwafaham hawa watu vzur,mana wamepata wanavyuo wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.