NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Kwanza poleni na msiba wa mtanzania mwenze2 Sumari.jamani m2 kama faiza foxy ,ritz na wengne walioajiliwa na ccm kuja kuichafua cdm humu xasa lazma watambue kuwa haisaidii kwan hata ccm wanafahamu uozo mzima walioufanya na ndo mana hata wanapopatwa na pigo kama kufiwa hukosa raha kwa sasa ccm haiombolez 2 kufiwa na Sumari bal imeunganisha na maombolezo ya kupoteza hyo nafas sitaki kusema hcho kiti kitaenda kw nan?kwan aliye na ufaham n lazma atakuwa anajua hvyo ndugu zangu cdm uhakika wa kuitawala h nch upo na ccm kwa xasa wanatapatapa,
swali langu:je serikali nzma itamia arumeru?
swali langu:je serikali nzma itamia arumeru?