Search results

  1. M

    Dhana ya thamani ya muda na mwenendo wa bunge

    Nafuatilia mwenendo wa Bunge la Katiba kwa kweli nasikitishwa na namna wanavyoenenda bila kujali muda. Kwanza wanachelewa kuanza mjadala,lakini pamoja na kuchelewa huko bado wanatumia muda mwingi kubishana kwenye hoja ambazo hazi tija kabisa! Kwa mfano wametumia zaidi ya dakika 45 kubisha juu ya...
  2. M

    Je kwa maneno haya nyerere amtukana/alimkashfu mwinyi

    Baba wa Taifa, Mwl. J.K Nyerere katika kitabu chake kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA ukurasa wa 50 anasema hivi: RAIS MWINYI NI MTU MWEMA NA MPOLE, LAKINI NI DHAIFU; NA UPOLE WAKE NA UDHAIFU WAKE UNATUMIWA NA WATU AMBAO WALA SI WEMA WALA WAPOLE KUHATARISHA UMOJA NA AMANI YA NCHI...
  3. M

    A Quote of the day!

    "A Govt which uses power/force to rule it's people teaches the people to oppose the Govt" Hon. Mbowe quoting Comrade Mandela! Nawaalika wanajamvi tutafakari kauli hii vs ubabe vyombo vyetu vya dola hasa Polisi! Pipooooooooooooooooooooz pawaaaaaaaaaaaaaa!
  4. M

    Unatupeleka wapi Kikwete

    Habari zilizotanda magazeti mengi leo: Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima! Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma! Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao! Chuo cha muhimbili...
  5. M

    Wapi Slogan hizi?!!!!!!!

    Wanabodi hebu tujaribu kutafakari slogan hizi zimetufikisha wapi? Je ulikuwa usanii! Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya! Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania! Ari Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasi Zaidi! ::::::::::::::
  6. M

    Rais Mbadilishe Waziri wa Katiba na Sheria

    Wana Bodi wenzangu, labda nianze kwa kusema sina wasiwasi na utendaji wa Celina Kombani hata kidogo kwa kuwa sote tumemuona akiwa naibu Waziri na baadae Waziri kamili kwenye wizara nyingine. Hata hivyo Kama kuna makosa makubwa ya uteuzi Wa mawaziri rais aliwahi kufana ni hili la kumteua...
  7. M

    Mh! Huyu Mbunge ....!

    Naangalia this week perspective tbc! Kuna mbunge wa nccr hapa anaunga kingereza mbaya! Ama kweli...,,
  8. M

    Bunge linaeleke kurudia makosa

    Je ni sahihi kuvunja mkataba wa kimataifa kwa azimio la bunge! Nasikitika sana kwamba bunge linaelekea kurudia kosa Kama lile la Dowans liloigharimu nchi yetu zaidi ya bil, 90/-. Asubuhi Waziri Ngeleja pamoja na mapungufu Yake alitusome utaratibu ambao serikali na Pan African walikubaliana...
  9. M

    JK's State House is the most accessible

    Pamoja na umri wangu kuwa wa kawida lakini nimebahatika kuviona na kuvitambua vipindi vyote vya u-rais na "ikulu" zake! Kwa tathimni ya ngungu ikulu ya kipindi cha u-rais cha kikwete is too accessible! Nina wasiwasi sana na accessibility hii, hasa hii inayoendelea sasa kwa madai ya...
  10. M

    Ushauri wangu kwa serikali juu ya mgogoro wa madaktari

    Kwa namna mambo yanavyoenda juu ya ushughulikiaji wa mgogoro baina ya wizara ya afya na madaktari ni wazi anayeumia ni mwananchi Wa kawaida ambaye hana haki wala uwezo wa kwenda kwa matibabu nje ya nchi. Kinachoonekana wazi ni kwamba viongozi wa wizara wameshindwa kushughulikia mgogoro...
  11. M

    ST John na umombo "kanumba" - "Temporary Closer" au "Temporary Closure" ?

    Ni kweli kabisa kwamba Umombo siyo Lugha yetu ya Taifa kwa kuwa Lugha yetu ya Taifa ni Kiswahili. Lakini tususaha kuwa tumekubali umombo siyo tu kuwa Lugha ya Kimataifa bali kuwa moja ya Lugha za mawasiliano rasmi ya kiofisi. Cha msingi zaidi tumeamua na tuanaendelea kusisitiza kuwa lugha ya...
  12. M

    Msaada

    Wana JF naomba kwa yeyote anayewajua wajumbe wa Bodi ya PSPF kwa majina anipe orodha hiyo! Thanx in advance
  13. M

    Maoni na Mtazamo wangu

    Mapema leo asubuhi nilipost thread kuhusiana na mtazamo wangu juu ya namna ambavyo mchakato wa mjadala wa muswada Wa mapitio ya katiba ulivyotekwa na kuathiriwa na baadhi ya watu "elites" kwa kisingizio kwamba wanatuwakilisha wananchi. Aidha, nilijaribu kutaadharisha kuwa michakato ya kutunga...
  14. M

    Mwenendo Wa mchakato Wa Katiba

    Kwa hali inavyokwenda kwa sasa juu ya majadiliano kuhusiana na Muswada wa Mapitio ya Katiba ni wazi kwamba kuna baadhi ya watu au vikundi vya watu, ama "wanasiasa", "wasomi" au "wanaharakati" wameteka mchakato mzima na wao kujifanya ndio wananchi. Hii inaweza ikapelekea katiba mpya itakayotungwa...
  15. M

    Updates Juu ya taarifa ya IGP

    Asubuhi tulitarifiwa kwamba Mzee Wa intelijensia atamwaga upupu juu ya namna jeshi lilivyoshughulikia madai ya Dr Mwakyembe. Wana JF mliopo Dar tupeni updates.
Back
Top Bottom