mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Mapema leo asubuhi nilipost thread kuhusiana na mtazamo wangu juu ya namna ambavyo mchakato wa mjadala wa muswada Wa mapitio ya katiba ulivyotekwa na kuathiriwa na baadhi ya watu "elites" kwa kisingizio kwamba wanatuwakilisha wananchi. Aidha, nilijaribu kutaadharisha kuwa michakato ya kutunga katiba katika nchi nyingi imeathiriwa na kuondoa maana baada ya michakato hiyo kutekwa na "elites" na mwisho wa siku kutunga katiba ya "elites" badala ya wananchi waliowengi.
Leo hii hii kabla ya jua kuzama tunaanza kuona ni namna gani "elites" kwa kutumia weledi wao wanataka kutuondole au kuingilia haki yetu ya kupata katiba mpya tunayoitaka. Kitendo cha baadhi ya "ellites" wanasiasa' kutaka ku-frustrate mchakato kuweka utaratibu utakaotupatia nafasi sisi walala hoi kushiriki kutunga katiba tunayoitaka sidhani kama wanatutendea haki!
My Take
tuachieni sisi wananchi tuamue katiba tunayoitaka. ni vema Waheshimiwa wabunge wakafahamu kuwa sisi tunawaona wao ndio kikwazo cha kupatikana katiba mpya! Kwa mfano jioni hii mmetuvuruga na mmetutlekeza! Raiti wote mngeamua kubaki ndani ya bunge na kusimamia hoja zote za msingi kama zilivyowasilishwa na mheshimiwa Lisu naamini mngefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuliko hivyo mlivyofanya! Mbona asubuhi mmesimamia mbambo mengi na yakaingizwa kwenye sheria ya manunuzi! Kwanini msingefanya hivyo hivyo na kwa muswada huu. Kwa hakika mmetuvuruga na mmetuterekeza!
Leo hii hii kabla ya jua kuzama tunaanza kuona ni namna gani "elites" kwa kutumia weledi wao wanataka kutuondole au kuingilia haki yetu ya kupata katiba mpya tunayoitaka. Kitendo cha baadhi ya "ellites" wanasiasa' kutaka ku-frustrate mchakato kuweka utaratibu utakaotupatia nafasi sisi walala hoi kushiriki kutunga katiba tunayoitaka sidhani kama wanatutendea haki!
My Take
tuachieni sisi wananchi tuamue katiba tunayoitaka. ni vema Waheshimiwa wabunge wakafahamu kuwa sisi tunawaona wao ndio kikwazo cha kupatikana katiba mpya! Kwa mfano jioni hii mmetuvuruga na mmetutlekeza! Raiti wote mngeamua kubaki ndani ya bunge na kusimamia hoja zote za msingi kama zilivyowasilishwa na mheshimiwa Lisu naamini mngefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuliko hivyo mlivyofanya! Mbona asubuhi mmesimamia mbambo mengi na yakaingizwa kwenye sheria ya manunuzi! Kwanini msingefanya hivyo hivyo na kwa muswada huu. Kwa hakika mmetuvuruga na mmetuterekeza!