mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Asubuhi tulitarifiwa kwamba Mzee Wa intelijensia atamwaga upupu juu ya namna jeshi lilivyoshughulikia madai ya Dr Mwakyembe. Wana JF mliopo Dar tupeni updates.
Asubuhi tulitarifiwa kwamba Mzee Wa intelijensia atamwaga upupu juu ya namna jeshi lilivyoshughulikia madai ya Dr Mwakyembe. Wana JF mliopo Dar tupeni updates.
bado anakusanya habari za kiintelijensia iwapo atatoa ukweli what will be the reaction
Tanzania haijawahi kumpata IGP wa ovyo kama huyu shemeji ya Jk saidi Mwema. Ni mbabaishaji, mwenye kujipendekeza, amejaa ukabila, udini, rushwa na kila namna ya uchafu. Kwa hakika kuwepo kwake katika nafasi hiyo, kama ilivyo kwa aliyemteua ni janga kwa Taifa. Historia itamhukumu.