mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Kwa hali inavyokwenda kwa sasa juu ya majadiliano kuhusiana na Muswada wa Mapitio ya Katiba ni wazi kwamba kuna baadhi ya watu au vikundi vya watu, ama "wanasiasa", "wasomi" au "wanaharakati" wameteka mchakato mzima na wao kujifanya ndio wananchi. Hii inaweza ikapelekea katiba mpya itakayotungwa kuwa ya kikundi Fulani cha watu "elites" sote tunafahamu kuwa ni kwa kiasi gani katiba za nchi nyingi zimevurugwa na "elites".
My take:
Kama ningekuwa Rais ningesitisha mchakato wowote kuhusiana na Katiba mpya mpaka hapo watanzania wenyewe, na si kikundi au vikundi vya watu" watakapotaka katiba mpya. Mnatuchanganya akili zetu kwa masilahi yenu binafsi.
k
My take:
Kama ningekuwa Rais ningesitisha mchakato wowote kuhusiana na Katiba mpya mpaka hapo watanzania wenyewe, na si kikundi au vikundi vya watu" watakapotaka katiba mpya. Mnatuchanganya akili zetu kwa masilahi yenu binafsi.
k