Bunge linaeleke kurudia makosa

mwikumwiku

Senior Member
Jul 15, 2011
153
35
Je ni sahihi kuvunja mkataba wa kimataifa kwa azimio la bunge! Nasikitika sana kwamba bunge linaelekea kurudia kosa Kama lile la Dowans liloigharimu nchi yetu zaidi ya bil, 90/-.

Asubuhi Waziri Ngeleja pamoja na mapungufu Yake alitusome utaratibu ambao serikali na Pan African walikubaliana namna ya kusuluhisha migogoro itakayo jitoke katika mkataba, utaratibu upo wazi!

Leo wabunge wanataka kuvunja mkataba huo kwa azimio la bunge!! wana jf tunaingizwa kwenye hasara nyingine ya mabilion! Huu ni ujanja Wa baadhi ya mafisadi kufrustrate mikataba huku wakijua bunge letu litakurupuka kuvunja mkataba huo na hatimaye wapate mabilion ya fidia Kama ya dowans!

Kwa wanasheria hasa waliosoma private international law watakubaliana na mimi kwamba mkataba Kama huu si Wa kukurupuka kuuvunja kwa azimio la bunge!
 
Mkuu tupe dondoo ni nini kinaongelewa manake naona jasho linakutoka usije ukawa mdau wa Pan African!
 
Bunge nalo lisije likawa ni bomu linalosubiria kulipuka
 
... hasa waliosoma private international law watakubaliana na mimi kwamba mkataba Kama huu si Wa kukurupuka kuuvunja kwa azimio la bunge!
Well, kwa mikataba ya serikali na wageni all laws are local, hakuna cha international law, ndio maana Dowans na Tanesco wamerudi kuendeleza makesi ya rufaa mahakama za Kitanzania. Acha wavunje tu hilo limkataba, tukitaka tunaweza hata kutaifisha mali za mgeni yeyote wa ajabu ajabu usawa huu, na historically tumewahi kufanyiza hivyo.
 
Je ni sahihi kuvunja mkataba wa kimataifa kwa azimio la bunge! Nasikitika sana kwamba bunge linaelekea kurudia kosa Kama lile la Dowans liloigharimu nchi yetu zaidi ya bil, 90/-.

Asubuhi Waziri Ngeleja pamoja na mapungufu Yake alitusome utaratibu ambao serikali na Pan African walikubaliana namna ya kusuluhisha migogoro itakayo jitoke katika mkataba, utaratibu upo wazi!

Leo wabunge wanataka kuvunja mkataba huo kwa azimio la bunge!! wana jf tunaingizwa kwenye hasara nyingine ya mabilion! Huu ni ujanja Wa baadhi ya mafisadi kufrustrate mikataba huku wakijua bunge letu litakurupuka kuvunja mkataba huo na hatimaye wapate mabilion ya fidia Kama ya dowans!

Kwa wanasheria hasa waliosoma private international law watakubaliana na mimi kwamba mkataba Kama huu si Wa kukurupuka kuuvunja kwa azimio la bunge!
Kwa pande yangu naona zaidi ndani, makosa yaliyorudiwa haswa ni yale ya watu kuingiza serikali katika mikataba isiyo na tija na ambayo pamoja na hilo inatutia hasara kama nchi na baadae kutunyonya mpaka tone la mwisho la damu ati madeni! Ni wazi kwamba mikataba inaingiwa na pande mbili zenye uelewa ulio makinika wa kwanza sheria zinazo husishwa katika kuingia mikataba hiyo na pili wale wanao-sign mikataba wanakuwa wanawajibika pasi na shaka kuhakikisha wanaelewa comprehensively kile wanacho dhamiria ktk mikataba hiyo ambao ni watendaji wa serikali yetu tunao-claim kwamba ni waliobobea ktk maeneo haya ya kazi na amaizingly, upande wa pili ambao ni makampuni ya kimataifa(multination organizations) ambao wanao ushawishi mkubwa kutoka kwa serikali zao AMBAZO ZINAINGIA LAWAMANI MOJA KWA MOJA KWA KUWAKINGIA KIFUA HAWA NDUGU! HALAFU KWA PEMBENI NA HUKU WAKINONG'ONA KWA PEMBENI WANAJIDAI ATI KULAUMU UONGOZI ULIOPO MADARAKANI NAMNA AMBAVYO HAUJIWEZI, WAKITULAUMU PIA SISI WAPIGA KURA KWAMBA TUMESHINDWA KUUTOA UONGOZI MADARAKANI, PIA WAKISEMA KWAMABA MATATIZO YETU NA UTEGEMEZI WETU TUMEUSABABISHA WENYEWE KWANI RASILIMALI TUNAZO NA WANATUSHANGAA.

Ukweli halisi ni kwamba hawa jamaa walibariki kwa kutozungumza kwa uwazi yale waliyo yaona kwenye uchaguzi wetu wakizilinda INTERESTS za nchi zao, mfano, kutakuwaje na utaratibu mzuri wa kuweka viongozi madarakani iwapo haya bado yanaendelea?

i. Kipindi cha uchaguzi lawama nyingi sana za ndani zilielekezwa kwa serikali na mfumo wake kwa sababu kadhaa ikiwemo tume ya uchaguzi kutoweza kuwa au kuonekana huru(perceived) kama inaendelea kuwajibika kwa raisi ambaye pia ni mgombea! Pia, wizi wa wazi wa kura ambapo mengi ya majimbo ya uchaguzi kulikuwa na uchekleweshaji wa makusudi na wizi.
ii. Wapigakura walio shiriki uchaguzi kwa uchache ule (chini ya asilimia 40 ya waliojiandikisha) hence chini ya asilimia 30 ya watanzania ndio walishiriki uchaguzi
iii. Wanaotoa uamuzi wa nani ataongoza nchi na wale wasioelewa wanalofanya(wananchi wa vijijini ambao pengine hawajui hata kusoma na kuandika) hivyo kupungua kwa haki yao ya kufanya maamuzi hayo mazito!

KUMBUKA, HAWA MATAIFA TAJIRI WANAJITAHIDI KWA KILA NAMNA ILI RASILIMALI ZETU WAZIFAIDI WAO IWE KWA KUTUTENGENEZA KTK MIKATABA MIBOVU NA KISHA KUWATETEA WAOVU WANAOINGIA MIKATABA KWA NIABA YETU N.K ILI MRADI TUWE SIKU ZOTE TUPO KTK NAFASI YA KUDAIWA , KUTAKIWA KULIPA MADENI NA KUTUONDOLEA MAWAZO YA KUJITEGEMEZA, HENCE KUTUFANYA OMBAOMBA KM RAIS WETU ANAVYOFANYA HIVI SASA!
 
Back
Top Bottom