"Bwana Mungu akasema, Si Vema Huyo Mtu Awe Peke Yake, Nitamfanyia Msaidizi Wakufanana nae, KATIKA BIBLIA MWANZO 2 :
21.Bwana akamletea Adam usingizi mzito nae akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake, 22.Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya...
Hatuna haja ya kubishana na mamlaka sana kuhusu katiba tunayoitaka ila la msingi ni kuomba KATIBA HIYO ITUACHIE UHURU WETU KATIKA DINI NA KUABUDU, bila kujali ni mamlaka ya nani/ipi/ kati ya watawala na wapinzani au umma imeamua katiba iweje.
Ni muda kitambo nimewamiss sana wapenzi wangu hapa jf da!
Msinifikirie vbaya sitawatosa. Liz, Afrodenz, Michelle, Husininyo, Asha Dii, Dena amsi, Uporoto, first lady na wengineo kidole kimechoka kuandika majina mengine hayasomeki in series kwa jinsi yalivyo feki na initials. Jamani mpoo...
Mafuta tunayopaka katika miili yetu ni kitu kisichozungumza,
lakini athari zake ni kubwa. Ubaya au uzuri wake husikika na kuonekana kwakuhisi harufu za aina mbalimbali yanazotoa na hatuwezi kuyaacha kwasababu hutufanya kupendeza.
Hapa ndo ninagundua si jambo rahisi kujitenga na siasa...
Habari zenu ndugu wanaJF wenzangu.
Natumaini kila mtu hufanya na kukipenda kile kinachomridhisha na kuifanya siku yake kuwa njema aidha kwa tamaa, mkumbo au dhati ya moyo.
Na pale penye manufaa/utamo ndipo mirija ya kunyonya hutumbukizwa na pale pasipo tija mirija ya kumwaga taka...
Hey!
CHADEMA ninyi ni wanaharakati na waalimu wazuri nawashauri jambo moja gumu,
pamoja na kuchafuliwa kisiasa babu yetu Lowasa fanyeni mpango mumpe offa ya kadi, atawasaidia sana maana pamoja na mchango wake huko kijiwe cha CCM wamememnyima heshima yake kwaualimu wenu mumfundishe uzalendo na...
Ndugu wanaJF tumekuwa tukiishi katika jamii tofautitofauti za KiTaNzania na kushuhudia mambo mengi mabaya na mazuri tukajitahidi kuyakemea yale mabaya kwamanufaa yakuwa na jamii yenye maadili.
Nami naandika uzi huu, eti wanawake wakichaga-wanapenda hela, wabahili, wauaji(wamachame)...
Ndugu wana Jf husika kichwa cha habari hapo juu.
Tumeweza kushuhudia migomo kadhaa ya wanavyuo mbalimbali hapa Tanzania kiklwemo chuo cha UDOM.
Miezi kadhaa iliyopita palitokea mgomo kakatika college of social science wakidai kunyimwa haki yao yakwenda field katika kujifunza kwa vitendo...
Napenda kuudedicate wimbo huu kwa wanaJF wote mtakaotoka out na wapenzi wenu wapya leo Easter2011.
Verse 1
SAJINA :
Umechagua adhabu ya kujiua,
Iweje sumu umezee maziwa,
Si ndoto alinacha unajua,
Kwahuu wimbo nakupa ukweli,
Umependa mwenyewe kuwa njiwa,
Wivu wa nini kwa ng'ombe...
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo...
Ndugu wanaJF hawa jamaa walianza vizuri kazi yao yakuvaa viatu vya wakoloni na nembo safi ya nyundo na jembe literary "WAKULIMA" na "WAFANYAKAZI" WaTanganyika tukawaamini baada ya Utanzania longolongo la Kibongo likaanza, wakatuibia nchi yetu na rasilimali zetu na kututenda jeuri all because of...
Rich people have their friends, poor people also, even disables have theirs. At the end of the journey friendship compiles happynes. Here I come changes on fingure. The dirt cat nipoken japo nimepitiliza hadi chumbani. Hodi hodi jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.