The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Habari zenu ndugu wanaJF wenzangu.
Natumaini kila mtu hufanya na kukipenda kile kinachomridhisha na kuifanya siku yake kuwa njema aidha kwa tamaa, mkumbo au dhati ya moyo.
Na pale penye manufaa/utamo ndipo mirija ya kunyonya hutumbukizwa na pale pasipo tija mirija ya kumwaga taka huchomekwa ikazisafirisha hadi mitaroni.
MY TAKE : jamii forums ni mtando bora wakijamii Tanzania, maana umegawa majukwaa yanayokidhi hitaji la kila mshika, katika majukwaa yote hapa Jf hili la mahusiano, mapenzi na urafiki limekuwa pumziko na kivutio cha wengi.
SWALI :
1> JE, jukwaa hili limekuwa na manufaa gani kwako? (hasi/chanya),
2> Program/Content zake ni zae au tasa?
3> Unaionaje hali yako yakukabiliana na changamoto za kimahusiano kabla na baada yakujiunga na kuwa mpenzi wa jukwaa hili hapa Jf?
4> Na nini kifanywe na mashabiki wajukwaa hili kwa faida zao wenyewe na heshima ya jukwaa hili?.
Kazi ni kwako...!
Natumaini kila mtu hufanya na kukipenda kile kinachomridhisha na kuifanya siku yake kuwa njema aidha kwa tamaa, mkumbo au dhati ya moyo.
Na pale penye manufaa/utamo ndipo mirija ya kunyonya hutumbukizwa na pale pasipo tija mirija ya kumwaga taka huchomekwa ikazisafirisha hadi mitaroni.
MY TAKE : jamii forums ni mtando bora wakijamii Tanzania, maana umegawa majukwaa yanayokidhi hitaji la kila mshika, katika majukwaa yote hapa Jf hili la mahusiano, mapenzi na urafiki limekuwa pumziko na kivutio cha wengi.
SWALI :
1> JE, jukwaa hili limekuwa na manufaa gani kwako? (hasi/chanya),
2> Program/Content zake ni zae au tasa?
3> Unaionaje hali yako yakukabiliana na changamoto za kimahusiano kabla na baada yakujiunga na kuwa mpenzi wa jukwaa hili hapa Jf?
4> Na nini kifanywe na mashabiki wajukwaa hili kwa faida zao wenyewe na heshima ya jukwaa hili?.
Kazi ni kwako...!