Katiba na mahitaji yetu

The dirt paka

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
371
66
Hatuna haja ya kubishana na mamlaka sana kuhusu katiba tunayoitaka ila la msingi ni kuomba KATIBA HIYO ITUACHIE UHURU WETU KATIKA DINI NA KUABUDU, bila kujali ni mamlaka ya nani/ipi/ kati ya watawala na wapinzani au umma imeamua katiba iweje.
 
Back
Top Bottom