Kuna house girl mmoja alibuni mbinu ya kutoka na njemba wake na kuchakachuana bila kujali kazi yake hasa ya kulea mtoto mdogo!!!Sokomoko lilitokea juzi wakati mama mwenye mtoto alipogundua kuwa housegirl anapobaki mwenyewe nyumbani huwa ana tabia ya kutoka kwenda kwa njemba moja...
Wana jf,naomba kama kuna mdau anajua wapi naweza kuipata series yote ya hii filamu _drama inaitwa journey to the west aumaarufu kama monkey anijuze.kuna wakati ilionekana katika local tv ila sijaweza kuipata.
Kuna jamaa mmoja amezidi sana kuchakachua,sijui ana pepo la ngono au amechanjia!!!Hivi kweli ni halali kuchakachua watu watatu wa familia moja???Jamaa alianza kutembea na dada mmoja(rika lake)-baadae wakaachana.Baada ya muda akaanza kutoka na mdogo wa huyo dada(wa tumbo moja) baadae...
Popobawa akikutembelea eti lazima umtaarifu mkeo au mumeo au hata watoto kuwa umetembelewa ndio aache mchezo wake na kuhamia kwingine.Je kuna ukweli wowote!!!Kuna mtu mwenye taarifa sahihi au ushuhuda wa mwenza wake au jirani kutembelewa na hicho kiumbe,au zilikuwa fiksi tu za wabongo kutunga...
Nasikia huyu mtu ana mtindio wa ubongo na ni mkorofi usimpimie ndio maana anafungwa hivi ili asilete matata ya kudhuru watu na kudhurika yeye mwenyewe!Tuwachangie mawazo wanaomuuguza ili apate huduma bora kuliko kufungwa hivi kama mbuzi.Inaumiza kwa kweli
Ile siku ya kwanza umeahidiana na mwenzio kwenda kula tunda aka kuchakachua ulikuwa unawaza nini?Hadi leo ukiwa na ahadi hiyo huwa unafikiria nini katika kuifikia shughuli yenyewe hasa ukiwa na partner mpya!!!Kuna kitu huwa unawazia tena baada ya mchezo au unaaga tu..lets go bcoz haina mantiki...
Kuna watu huwa wanapat vigugumizi katika mambo haya:-
Mosi: Unakaa mahali na wanawake,siku mdada amefua na kuanika nje nguo zake za ndani,Je inaruhusiwa kama imeanguka kumuinulia au kama mvua inakuja kumuanulia na kumpelekea au kama hayupo kumuhifadhia?
Pili:Ukiwa unaishi na mwenzio(mke/mume...
Hapa ni ktk uzinduzi wa bajaj ya kubebea akina mama wajawazito wakati wa uzazi.Gharama yake ni dola 5900 (8.5milioni).Nikikumbuka vema hii ilikuwa ahadi ya mgombea wa ccm kuwa akichaguliwa ataleta bajaj kuondoa kero na vifo vya wajawazito.Wengine tunaiona kama guta,sijui wana jamii...
Hivi chumba cha fungate kinatakiwa kiweje?Hiki ni chumba kilichotumiwa na wanandoa fulani kwa ajili ya fungate yao yaani honey moon!!!Kuna sababu gani zinazowapelekea kuchukua chumba cha vitanda viwili wakati wameshakuwa mwili mmoja?
Huyu m-dada ni mojawapo wa kuwa mifano ya kuigwa!!Wanawake wengi hawapendi kufanya mazoezi hata kujinyoosha kwao ni tabu!Unaweza kujiweka freshi hata ukiwa chumbani mwako.Nadhani ndio maana ana shepu inayovutia wanaume wengi!!Maksi zangu za juu amepata,mpeni zenu wadau
Kutokana na hali halisi ya usafi wa glasi kuwa kizungumkuti katika sehemu nyingi za vinywaji yaani hazioshwi,au hazioshwi vema au zinalowekwa tu kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupiga tarumbeta(kunywea kupitia chupa bila glasi)
Chupa za siku hizi hasa ndovu zina karatasi laini ambayo inafunika...
Hivi ni kwa nini wanawake WENGI hata wawe na pesa kuzidi waume/maboifrendi wao lakini wanakuwa wagumu sana kuwapa au kutumia pesa yake na mwenzie??Hata kama mwanaume wake ana mshahara mdogo kuzidi yeye bado atamuomba hata pesa ndogo ya mswaki.Hivi hii ni asili au nini?Vipato au mishahara yao...
Wikiendi ndiyo hiyo inaanza.Kwa wale tunaopenda kwenda beach au kupiga misele maeneo sio vibaya kusafisha macho kwanza kabla hatujatoka.Mimi naomba maksi zenu tu,kwa mwanaume ungependa ukutane au utoke na nani kati ya hawa!!!!Weekend njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.