He looks like he's sick!!
Anatakiwa apelekwe hospitali kama Mirembe - ndio walio na utaalamu wa kuwahudumia hawa.
Nasikia huyu mtu ana mtindio wa ubongo na ni mkorofi usimpimie ndio maana anafungwa hivi ili asilete matata ya kudhuru watu na kudhurika yeye mwenyewe!Tuwachangie mawazo wanaomuuguza ili apate huduma bora kuliko kufungwa hivi kama mbuzi.Inaumiza kwa kweli
View attachment 25380
View attachment 25381
Yaani wewe ulichoweza kuona kwenye hizi picha ni hizo nyeti tu?Mbona kama nyeti ziko nje mkuu!!!
akiwa na mtindio wa ubongo haitaji kuvishwa panties!!!!
Nasikia huyu mtu ana mtindio wa ubongo na ni mkorofi usimpimie ndio maana anafungwa hivi ili asilete matata ya kudhuru watu na kudhurika yeye mwenyewe!Tuwachangie mawazo wanaomuuguza ili apate huduma bora kuliko kufungwa hivi kama mbuzi.Inaumiza kwa kweli
View attachment 25380
View attachment 25381
Mmmmh anahitaji msaada mkubwa hii ni hatari sana mwe
mnh.....:smash::embarassed2:
Probably ana aleji nazo. Huenda hata family haiwezi kuaford kumnunulia suruali.Mbona kama nyeti ziko nje mkuu!!!
akiwa na mtindio wa ubongo haitaji kuvishwa panties!!!!