kwa mantiki hiyo ni sawa kabisa ila kwa jinsi nilivyoelewa mada ni issue tuu ya shule kuwa ya mwisho! ila unaweza kuwa wa mwisho kwa kuwa na matokeo mazuri! yasiyo kuwa ma mazero meeengi
Yote nimekubali kaka ila sasa kwa kweli polisi wetu akushike alafu ujifanye huongei nadhan kitakachokupata ni dhahir utaenda kuadhithia kwa mkeo na watoto
Hapo ndipo mimi pia nilimuona kama kachemka sana kuweka hilo neno muuza uji! Ila yote ya yote Mungu ni mwema na mwingi wa rehema ampokee mama huyu na amlaze anapostahili! Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.