kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 507
JE NI SAHIHI WAJAMENI KUFANYA HIVI???
Jamani usiombe mapenzi yakakunogea utatamani ugandane na mpenzi wako kila mahala.
Katika kona kona za mapenzi mapenzi leo nimekuta na hii kitu.
Mara nyingi watu wanapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huwa wanaaminiana kupita kiasi hata kama hawakuwahi kuchunguza afya zao.
Hali hii hupelekea wapenzi kuchangia vitu mbali mbali kama nyembe, mswaki,mkasi hata wengine hufikia hatua ya kuchangia pichuu! "ukivaa BOXER yangu na vaa KIBINI yako"
Hapa leo nitahitaji tuongelea kitu kimoja.
Mswaki,hivi ni sahihi wapenzi kuchangia mswaki?
Na kiafya iko vipi, hakuna magojwa yoyote yanayoweka kutokea kwa kuchangia mswaki?
Au matumaini yetu yako juu ya zile dawa za meno tupe Mtazamo wako.
Jamani usiombe mapenzi yakakunogea utatamani ugandane na mpenzi wako kila mahala.
Katika kona kona za mapenzi mapenzi leo nimekuta na hii kitu.
Mara nyingi watu wanapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huwa wanaaminiana kupita kiasi hata kama hawakuwahi kuchunguza afya zao.
Hali hii hupelekea wapenzi kuchangia vitu mbali mbali kama nyembe, mswaki,mkasi hata wengine hufikia hatua ya kuchangia pichuu! "ukivaa BOXER yangu na vaa KIBINI yako"
Hapa leo nitahitaji tuongelea kitu kimoja.
Mswaki,hivi ni sahihi wapenzi kuchangia mswaki?
Na kiafya iko vipi, hakuna magojwa yoyote yanayoweka kutokea kwa kuchangia mswaki?
Au matumaini yetu yako juu ya zile dawa za meno tupe Mtazamo wako.