weka matokeo yake tuone hiyo zeroHapo ndipo unajua chadema matapeli halafu wanaimba eti kipaumbele elimu,kama kipaumbele elimu professor baregu ndie angekuwa mwenyekiti wa chadema mbowe angekuwa mbeba mafaili yake.Halafu kama kipaumbele elimu mbowe Sasa hivi angekuwa kavalishwa shati Na kaptula ya shule akisoma a resit mitihani ya kidato cha sita
....una aminishwaje kwa mfano !?Matokeo ya kibaha hata sikuyaamini wengi viongozi watacheza na akili ya magufuli ya kutaka sifa wameshamjua bosi wao.
Napongeza hatua zilizochukuliwa za kuwatimua kazi hao mchwa. Wanakula kodi za wananchi huku wanaaahujumuWadau,
Habari nilizozipata na ambazo zimethibitishwa na mwalimu mmoja ni kwamba mkuu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani amesisimamishwa kazi kutokana na kufanya vibaya kwa shule hiyo katika matokeo yaliyotangazwa hivi karibuni.
Aidha walimu wote waliokuwa wanafundisha shule ile wamehamishwa na kutawanywa katika shule mbalimbali jijini dar na wengine mikoani kabisa.
Haya yanatokea huku chama cha walimu na vyama vyote vya wafanyakazi humu nchini vikiwa kimya kabisa kama vile kafukuzwa paka tu.
Wakati sasa umefika kwa vyama vya wafanyakazi kuamka na kutetea wenzao wanaopata matatizo ya kuonewa kama haya.
Hii Kali.Duuh! Pole sana zimfikie huyu mnyonge (mwalimu). Hivi alitakiwa awafanyie nini hawa wasichana wa Jangwani ili wafaulu?
Hawa wasichana ni wake wa makonda, bodaboda na ndiyo machangudoa wa kila baa na klabu.
Wana simu kali kuliko wazazi wao. Wanatembea na sketi fupi kuliko chupi zao. Wamefanya ngono mara nyingi kuliko wazazi wao.
Hawa wanawezaje kumsikiliza mwalimu wakasoma na kuelewa?
hayapo mbali mkuuNaomba tu Mungu yasianze yale ya kuonyesha watoto mitihani ili mkuu alinde nafasi yake.
nafikir wewe ni msaliti namba moja! ulishawahi hata kumfundisha mtoto wa chekechea wewe?Inabidi itungwe sheria ngumu ya kuwanyonga kabisa hao wasaliti
Yaani vyama hivyo ni vya kithenge kupindukia.. Mafao yetu yameminywa na hakuna hata kimoja kilichojaribu kuteteaWadau,
Habari nilizozipata na ambazo zimethibitishwa na mwalimu mmoja ni kwamba mkuu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani amesisimamishwa kazi kutokana na kufanya vibaya kwa shule hiyo katika matokeo yaliyotangazwa hivi karibuni.
Aidha walimu wote waliokuwa wanafundisha shule ile wamehamishwa na kutawanywa katika shule mbalimbali jijini dar na wengine mikoani kabisa.
Haya yanatokea huku chama cha walimu na vyama vyote vya wafanyakazi humu nchini vikiwa kimya kabisa kama vile kafukuzwa paka tu.
Wakati sasa umefika kwa vyama vya wafanyakazi kuamka na kutetea wenzao wanaopata matatizo ya kuonewa kama haya.
shule ya jangwani ina vitendea kazi gani?HAWA walimu ni halali kuhamishwa, itakuwaje SHULE iko jijini na vitendea kazi vipo inapitwa na SHULE iliyoko Tandahimba, KIBONDO na Nkasi kuliko na miundombinu ya elimu mibovu!!! Tuache kuwatetea walimu wazembe
Ni sahihi kabisa,lkn hoja ni uwe wa mwisho ktk kiwango gani?Ukiwa wa mwisho ktk matokeo mazur sio mbaya,shida ni kujaza mazero na four na unakuta shule inakila facilities.hivi sasa nani ndo anatakiwa awe wa mwisho? si lazima kwenye ushindani mmoja ashinde na mwingine ashindwe?
Mdogo wangu kachaguliwa pale,namwamisha,maana hivi vitoto ukivikuta mtaani ni shida sanaHuyo mwalimu wamemuonea tu watoto wa skuizi whasp kwa sana, hasa vile vitoto vya jangwani vikishavaa zile jezi na viraba vyao vyeupe ndio huviambii kitu
kwa mantiki hiyo ni sawa kabisa ila kwa jinsi nilivyoelewa mada ni issue tuu ya shule kuwa ya mwisho! ila unaweza kuwa wa mwisho kwa kuwa na matokeo mazuri! yasiyo kuwa ma mazero meeengiNi sahihi kabisa,lkn hoja ni uwe wa mwisho ktk kiwango gani?Ukiwa wa mwisho ktk matokeo mazur sio mbaya,shida ni kujaza mazero na four na unakuta shule inakila facilities.
Kwa maelezo haya mkuu wa shule anastahili kufukuzwa kazi.Huwa nakutana na hawa watoto wanavaa ovyo sana hadi najiuliza huko shuleni sikuizi hakuna waalimu wa nidham?Wanafunzi wakikosa nidham hawawez faulu na kama wakifeli wakwanza kuwajibishwa ni mkuu wa shuleDuuh! Pole sana zimfikie huyu mnyonge (mwalimu). Hivi alitakiwa awafanyie nini hawa wasichana wa Jangwani ili wafaulu?
Hawa wasichana ni wake wa makonda, bodaboda na ndiyo machangudoa wa kila baa na klabu.
Wana simu kali kuliko wazazi wao. Wanatembea na sketi fupi kuliko chupi zao. Wamefanya ngono mara nyingi kuliko wazazi wao.
Hawa wanawezaje kumsikiliza mwalimu wakasoma na kuelewa?
Au magu na PhD feki ya maganda ya korosho, anawapigisha magoti akina kabudi,mbarawaAu Mbowe Na Zero yake ya form six kawapanga kina Prf Baregu kufanya kazi ya kumbebea mafaili
Wadau,
Habari nilizozipata na ambazo zimethibitishwa na mwalimu mmoja ni kwamba mkuu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani amesisimamishwa kazi kutokana na kufanya vibaya kwa shule hiyo katika matokeo yaliyotangazwa hivi karibuni.
Aidha walimu wote waliokuwa wanafundisha shule ile wamehamishwa na kutawanywa katika shule mbalimbali jijini dar na wengine mikoani kabisa.
Haya yanatokea huku chama cha walimu na vyama vyote vya wafanyakazi humu nchini vikiwa kimya kabisa kama vile kafukuzwa paka tu.
Wakati sasa umefika kwa vyama vya wafanyakazi kuamka na kutetea wenzao wanaopata matatizo ya kuonewa kama haya.
Au Mbowe Na Zero yake ya form six kawapanga kina Prf Baregu kufanya kazi ya kumbebea mafaili
Duuh! Pole sana zimfikie huyu mnyonge (mwalimu). Hivi alitakiwa awafanyie nini hawa wasichana wa Jangwani ili wafaulu?
Hawa wasichana ni wake wa makonda, bodaboda na ndiyo machangudoa wa kila baa na klabu.
Wana simu kali kuliko wazazi wao. Wanatembea na sketi fupi kuliko chupi zao. Wamefanya ngono mara nyingi kuliko wazazi wao.
Hawa wanawezaje kumsikiliza mwalimu wakasoma na kuelewa?